Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAUSI LIKOKOLA FUND RAISING DINNER‏

Tausi Likokola was the first high fashion model to cross over international modeling industry on the 90's with credits from fashion houses such as Gucci, Christian Dior, Issey Miyake, Tommy Hilfger, Escada etc. Tausi also covered numerous fashion magazines and inspired many current models like Millen Magese, Flaviana Matata, Herieth Paul and others around the globe. Tausi used her name to help her own people in Tanzania in...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Tausi Likokola azindua vazi la amani

TAUS LIKOKOLANA CHRISTOPHER MSEKENA

ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.

Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba.

Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa...

 

10 years ago

GPL

MWANAMITINDO WA KIMATAIFA TAUSI LIKOKOLA ATEMBELEA GLOBAL TV

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akijiweka sawa kufanya mahojiano kupitia Global TV Online leo. ...Akifafanua jambo wakati wa mahojiano.…

 

10 years ago

Mtanzania

Tausi Likokola achangisha milioni 14 kusaidia albino

Taus LikokoNa Mwandishi Wetu
BAADHI ya fedha zilizokusanywa usiku wa Tausi uliofanyika katika Hoteli ya Coral Beach Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, zimeelekezwa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), kikundi cha Wamata na Kiwawede cha Mburahati ambacho kinatunza watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Usiku huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo mwandishi mashuhuri, Jenerali Ulimwengu, mwanamitindo Mustafa Hasanali, aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu na wengine...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamitindo Tausi Likokola azuru nchini, kuzindua manukato yake

DSC_0322

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na kulakiwa na mama yake mdogo, Beatrice Likokola.(Picha zote na Zainul Mzige)

Na Andrew Chale wa modewji blog

MLIMBWENDE wa kitanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Tausi Likokola amewasili nchini mchana huu kwa lengo la kuzindua miradi yake anayoiendesha ambayo mingine ni kwa ajili ya kusaidia jamii ya...

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI

 Mwanamitindo,Tausi Likokola akiwasili leo wa uwanja wa Ndege Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitoke nchini Marekani kwa ziara ya siku 10 kushoto ni mama mdogo,Beatrice Likokola Mwanamitindo,Tausi Likokola akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere leo Jijini Dar es Salaam.Mwanamitindo Tausi Likokola akishiriki kucheza ngoma ya asili ya kundi la wanne Star mara baada ya kuwasili wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu...

 

10 years ago

Dewji Blog

African Princess Tausi to host Dinner & Dance

tausi likokola Tausi Likokola was the first high fashion model to cross over international modeling industry on the 90’s with credits from fashion houses such as Gucci, Christian Dior, Issey Miyake, Tommy Hilfger, Escada etc. Tausi also covered numerous fashion magazines and inspired many current models like Millen Magese, Flaviana Matata, Herieth Paul and others around the globe. Tausi used her name to help her own people in Tanzania in education, HIV/AIDS awareness and positively contributed to Tourism...

 

10 years ago

Vijimambo

FUND RAISING YA WAHANGA WA KIMBUNGA YA KISIWA PANZA HUKO PEMBA

Kimbunga kilichotokea Juzi na kuathiri zaidi ya watu Mia mbili bila kuwa na makazi.Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazanzibari Marekani ZADIA anawahimiza watu wote kuwasidia Wahanga wa Kisiwa Panza huko Pemba baada ya kupata Kimbunga huko Zanzibar Juzi Familia  mia mbili zimekuwa bila makazi , Tunaomba Mchango wako kusaidia familia hizi.
Ahsante Mwenyekiti ZADIA Sheikh Omar/ Mkiti ZADIA 215 459 4449Unaweza kuchangia Online kwa kupitia link hizi hapahttp://www.gofundme.com/sv2k48OR PAY...

 

11 years ago

GPL

VIONGOZI WA JUMUIYA COLUMBUS, OHIO WAMFANYIA DINNER BALOZI LIBERATA MULAMULA NA MUMEWE‏

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na katibu wa Jumuiya ya Watanzania Columbus, Ohio Bi. Happiness Salukele wakiwemo wajumbe wa Jumuiya Nasra Murumah, Chiseko Hamisi na kushoto ni mweka hazina wa Jumuiya Bi. Vera Teri  Mhe. Balozi Liberata Mulamula na Mumewe Bwn. George Mulamula wakikaribishwa kwenye mgahawa wa Mitchell's Steakhouse wa Columbus, Ohio na wajumbe wa… ...

 

10 years ago

Michuzi

HER NAME IS TAUS LIKOKOLA

Tausi Likokola was the first high fashion model to cross over international modeling industry on the 90's with credits from fashion houses such as Gucci, Christian Dior, Issey Miyake, Tommy Hilfger, Escada etc. Tausi also covered numerous fashion magazines and inspired many current models like Flaviana Matata, Millen Magesa, Herieth Paul and others around the globe. Tausi used her name to help her own people in Tanzania in education, HIV/AIDS awareness and positively contributed to...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani