Mwanamitindo Tausi Likokola azuru nchini, kuzindua manukato yake
Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na kulakiwa na mama yake mdogo, Beatrice Likokola.(Picha zote na Zainul Mzige)
Na Andrew Chale wa modewji blog
MLIMBWENDE wa kitanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Tausi Likokola amewasili nchini mchana huu kwa lengo la kuzindua miradi yake anayoiendesha ambayo mingine ni kwa ajili ya kusaidia jamii ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s72-c/DSC_0891.jpg)
MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s1600/DSC_0891.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tjNWY0bPwW8/VOdRK72AvtI/AAAAAAAHEys/Gf6cHCIYl4I/s1600/DSC_1094.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jE687D6VxOE/VOdRLAG2rjI/AAAAAAAHEyk/nSDj3cEBBZs/s1600/DSC_1152.jpg)
10 years ago
GPLMWANAMITINDO WA KIMATAIFA TAUSI LIKOKOLA ATEMBELEA GLOBAL TV
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tausi Likokola azindua vazi la amani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.
Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba.
Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Tausi Likokola achangisha milioni 14 kusaidia albino
Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya fedha zilizokusanywa usiku wa Tausi uliofanyika katika Hoteli ya Coral Beach Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, zimeelekezwa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), kikundi cha Wamata na Kiwawede cha Mburahati ambacho kinatunza watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Usiku huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo mwandishi mashuhuri, Jenerali Ulimwengu, mwanamitindo Mustafa Hasanali, aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu na wengine...
10 years ago
GPLTAUSI LIKOKOLA FUND RAISING DINNER
9 years ago
Mwananchi18 Oct
LOTA MOLLEL : Mwanamitindo asiyependa fani yake idharauliwe
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Waziri Mkuu Majaliwa ahani msiba wa dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mwanamitindo Jocktan Makeke kuwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya TDWFS nchini Afrka Kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4xzOBOqiTs/VerrmqXm8qI/AAAAAAABU2U/9POjiuinNkk/s640/10920906_648407821952879_2220020570387560158_n.jpg)
Msanii wa mitindo ya kiafrika kutoka Tanzania JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA ambaye amekuwa tishio katika mitindo ya asili ya mwafrika ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika majukwaa mbalimbali ndani na nje ya nchi , kama unakumbuka mwezi wa saba alituwakilisha vyema Jijini Nairobi na kuonekana mwanamitindo bora sasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yo6tBUPzRzg/Verrm2uk6FI/AAAAAAABU2Q/ddvJNUMGM5k/s640/11224060_751499984976995_1457749290909963131_n.jpg)
Msanii huyu ambaye ndio mwanzilishi ya kampuni ya MAKEKE AFRIKA CO. LTD atapanda tena jukwaani mwezi huu nchini Afrika Kusini kufanya maajabu kwa mara nyingine katika...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dk. Magufuli azuru makaburi ya Babu na Bibi yake, Katoma — Geita Vijijini
![](http://3.bp.blogspot.com/-gNtj1_cZX_4/ViWp-auiuhI/AAAAAAABnhM/YWKJrs51VkI/s640/IMG_7466.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AW7Ft9Wt_Oo/ViWqDC4WhcI/AAAAAAABnhk/QKVEWm32wFU/s640/IMG_7472.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld9Mpt89rNs/ViWqNIcTusI/AAAAAAABniY/4kNTLENLbZE/s640/IMG_7503.jpg)