LOTA MOLLEL : Mwanamitindo asiyependa fani yake idharauliwe
Ukizungumzia wanamitindo wanaofanya vizuri katika tasnia ya mitindo, huku wakiwa na juhudi zakuleta maendelea katika familia zao na nchi kwa ujumla huwezi kumsahau Lota Molel.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DwoNRHERP5I/Xo2bPIjowGI/AAAAAAALmfM/1ZV5v4_32X4Z3zFc5lVCTwm3TDr8cjsjwCLcBGAsYHQ/s72-c/iuj1n4b8_bhasha-mukherjee-miss-england_625x300_08_April_20.jpg)
CORONA YAMREJESHA MLIMBWENDE KWENYE FANI YAKE YA UDAKTARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DwoNRHERP5I/Xo2bPIjowGI/AAAAAAALmfM/1ZV5v4_32X4Z3zFc5lVCTwm3TDr8cjsjwCLcBGAsYHQ/s400/iuj1n4b8_bhasha-mukherjee-miss-england_625x300_08_April_20.jpg)
Mukherjee alipewa taji hilo Agosti mwaka jana (2019) na kuchukua mapumziko katika fani yake yake ya udaktari na kujikita zaidi katika shughuli za kijamii na tayari amerejea Uingereza kutoka nchini India katika safari ya shughuli za...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Mwanamitindo Tausi Likokola azuru nchini, kuzindua manukato yake
Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na kulakiwa na mama yake mdogo, Beatrice Likokola.(Picha zote na Zainul Mzige)
Na Andrew Chale wa modewji blog
MLIMBWENDE wa kitanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Tausi Likokola amewasili nchini mchana huu kwa lengo la kuzindua miradi yake anayoiendesha ambayo mingine ni kwa ajili ya kusaidia jamii ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TSbu_X9XeH4/Xoy_w7AZJtI/AAAAAAALma0/kqM4TqfvtR4j71A4hi6-ApoEe6GBUsjqACLcBGAsYHQ/s72-c/602x338_cmsv2_5fb7f9bf-fdf2-5512-9381-5e381ad34029-4612992.jpg)
KISA CORONA WAZIRI MKUU IRISH AREJEA KWENYE FANI YAKE YA UDAKTARI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MIAKA saba iliyopita Waziri mkuu wa Irish Leo Varadkar aliacha fani yake ya udaktari na kuingia kwenye siasa na leo amerudi katika fani yake ya awali akihudumu kama daktari ikiwa na sehemu ya kuisaidia nchi dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona (Covid -19) ambapo hadi sasa taifa hilo lina visa 4994 Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na chuo kikuu cha Johns Hopkins siku ya Jumatatu.
Varadkar aliyehudumu katika sekta ya afya kama daktari kwa miaka saba ...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72776000/jpg/_72776989_lota.jpg)
Zambia mourns Dennis Lota
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Je, uongo ni fani?
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Utalii wa fani ya picha uimarishwe
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Fani katika tamthiliya ya Orodha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOR3jfzjNUmdO7hFmPjs5Ne8v0YsnQPXKMwruv6wTgcGSpl27RT2o8-RPZRITZQ1Xs6kQI02MngBmJ47uMfoduo/atauidengandmarihennyriverabysimonburstallforellefrancenovember20124.jpg?width=650)
MWANAMITINDO ALIYEPOTEA MAREKANI AKUTWA HOSPITALINI
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Jokate: Mwanamitindo bora ni mawasiliano mazuri
NA THERESIA GASPER
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo amesema ili wanamitindo wadogo waweze kufanikiwa katika kazi zao, lazima wajenge mitandao ya mawasiliano mazuri na watu mbalimbali.
“Msanii unatakiwa kuwa mfano mzuri katika jamii kwa kufanya mambo yanayokubalika ili jamii iweze kukufikiria vizuri na wengine wajifunze mazuri kupitia wewe,” alisema Jokate, katika kongamano la Jukwaa la Sanaa lililofanyikia jana kwenye ukumbi wa BASATA, jijini Dar es Salaam.
Naye mwanamitindo Asia Idarous, alisema...