Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMITINDO ALIYEPOTEA MAREKANI AKUTWA HOSPITALINI

Mwanamitindo raia wa Sudan aishie Marekani, Ataui Deng. Mwanamitindo raia wa Sudan aishie Marekani, Ataui Deng aliyepotea kwa muda wa wiki mbili huku akitafutwa na polisi amekutwa akiwa hai katika hospitali moja New York. Marafiki wa mwanamitindo huyo walitoa taarifa polisi na kuanzisha kampeni maalum ya kumtafuta baada ya kushindwa kumpata kwa kipindi kirefu, kampeni ambayo iliungwa mkono na watu maarufu akiwemo Rihanna....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aliyepotea akutwa mtupu

MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...

 

10 years ago

Michuzi

DEREVA TEXI ALIYEPOTEA AKUTWA AMEKUFA

Na John Gagarini, Kibaha
BAADA ya dereva wa Texi Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani kupotea kwa siku nane amepatikana akiwa ameuwawa na kuporwa gari alilokuwa akiliendesha.
Marehemu ambaye alikuwa akifanyia shughuli zake kwenye kituo kikuu cha Mabasi cha Maili Moja wilayani humo alipotea Agosti 6 Mwaka huu majira ya saa 1 usiku alipokodishwa na watu wawili wasio fahamika waliojifanya kuwa ni wateja.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyepotea sherehe za Mwaka Mpya akutwa amekufa

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti akiwamo mkazi wa Kijiji cha Ihowanza, aliyetoweka wakati wa sherehe za kuukaribisha mwaka mpya ambaye mwili wake umekutwa umeliwa na mbwa. Kamanda...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali

Mwanamitindo Maarufu Millen Magese Amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kitandani kwa mara nyingine tena akipata matibabu kuhusu ugonjwa unaomsumbua na kuandika ujumbe huu wa kusikitisha:"
I didn't want to Post any pic this time because Iam exhausted ....but posting this pic today is just to insist ...Endometriosis is real. I truly don't wish to see any young girl/woman go through this pain . It's not just your period pain , it's more than that. May this remind women from all over...

 

11 years ago

Bongo5

Muigizaji wa ‘Mrs Doubtfire’ Robin Williams wa Marekani akutwa amekufa nyumbani kwake

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani Robin Williams amekutwa amekufa nyumbani kwake California, Marekani Jumatatu (Agosti 11) huku ripoti ya polisi ikionesha kuwa huenda amejiua (asphyxia). Imeelezwa kuwa kwa siku za hivi karibuni Williams ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 63 alikuwa akipambana na sonona (depression). “This morning, I lost my husband and my […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Chui katika bustani ya wanyama ya Bronx, New York akutwa na virusi vya corona Marekani

Chui wanne, simba watatu kwenye bustani ya Bronx walipata kikohozi kikavu - wote wanatarajiwa kupona.

 

9 years ago

Vijimambo

MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA

Taarifa mpya kutoka kwa familia ya Jullu inasema kuwa mtoto wao Loveness Coletha aliyepotea na dada yake amepatikana na mzazi wake amesafiri kwenda jijini Mwanza kumchukua.Tunashukuru wote waliojumuika kuifariji familia kwa maneno ya kutia moyo, walioguswa na kuombea matumaini kwa sala, wote waliosambaza ujumbe kwa njia mbalimbali na zaidi sana, kwa watendaji wote wa mamlaka husika waliofanya kazi yao katika kufanikisha hili.Asanteni!​

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa

 Mtoto Nuru Mohamedi (7) ameuawa kikatili na kisha mwili wake kutelekezwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika ujenzi iliyo Majohe Kichangani mjini hapa.

 

10 years ago

CloudsFM

POLISI MWANZA WAMSAKA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA

POLISI wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani kwake na kupelekwa mahali pasipojulikana mwezi uliopita mkoani Mwanza.

Awali watu 15 walikamatwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kufuatia msako unaojulikana kama 'Hakuna kulala' dhidi mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Pendo Emanuel kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 27.12.2014 nyumbani kwao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani