Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
 Mtoto Nuru Mohamedi (7) ameuawa kikatili na kisha mwili wake kutelekezwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika ujenzi iliyo Majohe Kichangani mjini hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Dec
Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili
WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maiti yaokotwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
Mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28,umeokotwa maeneo ya Misuna makaburini tarafa ya Mungumaji Singida mjini.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, amesema mwili huo umeokotwa Agosti 5 mwaka huu saa moja asubuhi ukiwa umetelekezwa kwenye makaburi ya Misuna.
Alisema mwanaume huyo siku ya tukio alikuwa amevaa shati la...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Maiti ya kichanga yaokotwa Mabibo Dar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s72-c/IMG-20141019-WA0006.jpg)
NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s1600/IMG-20141019-WA0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kQaROm3WVhA/VENiP3PKRhI/AAAAAAAAOjY/5nZuLpIjRZc/s1600/IMG-20141019-WA0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YuGzhkVBckM/VENiUWVZJXI/AAAAAAAAOjw/sFdV56-EUNM/s1600/IMG-20141019-WA0009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jpGrIUAgCOo/VENwGcLI67I/AAAAAAAAOnk/6w2U9MByyoY/s1600/IMG-20141019-WA0012.jpg)
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wJyMazYRZY4YqJnBxM00gP8f9jrup8RIWihDGmrmN1G9aItNemHNlta28vtq5T1BeujjBgIsuQroi1-wIgsoeW/mlinziwamahakama.jpg)
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI, MOROGORO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s72-c/mlinziwamahakama.jpg)
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s640/mlinziwamahakama.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mtoto aliyepotea akutwa mtupu
MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s72-c/20150925063642.jpg)
MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s640/20150925063642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epMam56GaSk/VgVReKNI8OI/AAAAAAAAt80/jTpBCrZvPHk/s640/20150925063641.jpg)