Maiti ya kichanga yaokotwa Mabibo Dar
Maiti ya mtoto mchanga imeokotwa ikiwa imeviringishwa kwenye kanga na kuwekwa kwenye mfuko wa rambo imeotwa ikiwa imetupwa pembezoni mwa mto uliopo Mabibo External jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maiti yaokotwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
Mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28,umeokotwa maeneo ya Misuna makaburini tarafa ya Mungumaji Singida mjini.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, amesema mwili huo umeokotwa Agosti 5 mwaka huu saa moja asubuhi ukiwa umetelekezwa kwenye makaburi ya Misuna.
Alisema mwanaume huyo siku ya tukio alikuwa amevaa shati la...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maiti ya kichanga yazua balaa
MTAFARUKU mkubwa umetokea msibani katika Mtaa wa Kawajense Madukani, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya ndugu wa pande mbili kugombania kuuzika mwili wa kichanga, Junia Bacho mwenye mwaka mmoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s72-c/IMG-20141019-WA0006.jpg)
NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s1600/IMG-20141019-WA0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kQaROm3WVhA/VENiP3PKRhI/AAAAAAAAOjY/5nZuLpIjRZc/s1600/IMG-20141019-WA0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YuGzhkVBckM/VENiUWVZJXI/AAAAAAAAOjw/sFdV56-EUNM/s1600/IMG-20141019-WA0009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jpGrIUAgCOo/VENwGcLI67I/AAAAAAAAOnk/6w2U9MByyoY/s1600/IMG-20141019-WA0012.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4ejn9MGm8I5whikJEGVcYXfMt95L7m03YHjfsdOCVPK2vLuijI97sI3cv*3b9OkLtosN*qbixMUIrrIRzExxyD-/DSC_0051.jpg?width=650)
KICHANGA CHATUPWA BUNJU DAR
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Recho azikwa na kichanga chake Dar
SAFARI ya mwisho ya msanii wa filamu, Rachel Haule ‘Recho’ na mwanaye mchanga imefikia tamati jana baada ya kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kuacha simanzi...
10 years ago
GPLMOTO WAHARIBU BWENI LA WANAWAKE MABIBO, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEWencYSgePo22Av0ROGpXPi9yDJSTeRku*g*mVMJzHvTBeq-ryfiyn8tr6Ait4W6uX6kER1ng917Jj-75tzl80Z/4.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIv2lg*IoR2-V3aT5dOGlYbYrfFdyjbW6lLkVHKS6F6G8bnVJImalBpk8qhod*a*2tvmjYT2V0kSDSEqoRSNdd8/MOTOMABIBO1.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR