MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI, MOROGORO
![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wJyMazYRZY4YqJnBxM00gP8f9jrup8RIWihDGmrmN1G9aItNemHNlta28vtq5T1BeujjBgIsuQroi1-wIgsoeW/mlinziwamahakama.jpg)
Mwili wa mlinzi huyo ukiingizwa kwenye gari la polisi ili kupelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti. Watu wasiojulikana wamemuua mtu mmoja anayedaiwa kuwa mlinzi wa Mahakama ya Kinguluwira mjini Morogoro (jina lake halijajulikana bado) kwa kumkata panga kichwani na kunyofoa baadhi ya viungo vyake, kisha kutupa mwili wake katika mashamba ya Pangawe mjini Morogoro. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, mwili huo ulikutwa ukiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s72-c/mlinziwamahakama.jpg)
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s640/mlinziwamahakama.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Dec
Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili
WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Mlinzi auawa lindoni Moro
11 years ago
CloudsFM25 Jun
BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA
Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...
9 years ago
StarTV05 Oct
Dereva wa Boda boda Nzega auawa kikatili
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Dereva wa pikipiki maarufu kwa jina la Boda boda Hosamu Abdulrahamani (18) mkazi wa Nyasa Nzega mkoani Tabora ameuawa kwa kuchinjwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kisha kukata kichwa na sehemu za siri na kuondoka navyo na kupora pikipiki yake.
Tukio hilo limetokea Octobar 3 mwaka huu majira ya saa Nne usiku katika kijiji cha Silimka kata ya Itilo baada ya ushirikiano mkubwa wa boda boda kuutafuta mwili huo na kuupata ...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mamba mla watu auawa Morogoro
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-Apc*2YJScwagIHbfxu0rsvqzZK0ifbIDrcaFImfe3hYbybb6grxiZrtLTeIKlwTzlegBuZxyPgvncZ64WTCBS/kkk.gif?width=650)
POLISI AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA MOROGORO