Mlinzi auawa lindoni Moro
Watu watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Morogoro likiwemo la mlinzi wa mnara wa kampuni ya simu kuuawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani wakati akiwa lindoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wJyMazYRZY4YqJnBxM00gP8f9jrup8RIWihDGmrmN1G9aItNemHNlta28vtq5T1BeujjBgIsuQroi1-wIgsoeW/mlinziwamahakama.jpg)
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI, MOROGORO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s72-c/mlinziwamahakama.jpg)
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-NR_3dpBYF0Q/VaZvpRrtzCI/AAAAAAABRy8/tZyk5aBArr8/s640/mlinziwamahakama.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Dec
Askari aua mwenzake lindoni, ajiu
ASKARI Polisi wa Kituo cha Polisi Nyamagana jijini Mwanza, Konstebo Daud Masunga Elisha, amemuua askari mwenzake, Konstebo Petro Saimon Matiko kwa risasi na baadaye kujiua kwa risasi na kufa papo hapo.
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Polisi Wauana kwa Risasi Mwanza Wakiwa Lindoni
![1](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/146-1024x763.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mlinzi wa shamba ajinyonga
MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Mlinzi Mnara wa Sokoine aliyetelekezwa