Mlinzi Mnara wa Sokoine aliyetelekezwa
“Ni mita 300 kutoka eneo ambalo gari lililokuwa limembeba Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine hadi zilipo nyumba zetu, ulisikia mshindo mkubwa wa ulioashiria kuna ajali imetokea katika Barabara Kuu ya Dodoma-Morogoro eneo la Kijiji cha Luhindo, Kata ya Dakawa siku ya Jumatano, Aprili 12 mwaka 1984 mchana ya saa 7. Kumbe ni ajali iliyosababisha kifo cha kiongozi wetu.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Polisi aliyetelekezwa achangiwa
ASKARI polisi namba G.2751 PC Japhet Samwel, aliyetelekezwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya baada ya kuumia akiwa kazini, amechangiwa fedha za matibabu na askari wenzake wa vyeo...
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Aliyetelekezwa kwa saratani afariki
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mbwa aliyetelekezwa apata ofa ya makazi
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)
Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]
The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
9 years ago
Bongo501 Oct
Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Mnara wa damu umesimama
Na Rashid Abdallah Sioni tatizo na wala siogopi kusema kuwa Dr. Ali Mohammed Shein na viongozi wenzake juzi wamezindua mnara wa mauaji ya kimbari ya Wazanzibari wasiokuwa na hatia na tunakaririshwa kuwa tuyaite ‘mapinduzi matukufu’, wakati […]
The post Mnara wa damu umesimama appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mlinzi wa shamba ajinyonga
MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...