Polisi aliyetelekezwa achangiwa
ASKARI polisi namba G.2751 PC Japhet Samwel, aliyetelekezwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya baada ya kuumia akiwa kazini, amechangiwa fedha za matibabu na askari wenzake wa vyeo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Mlinzi Mnara wa Sokoine aliyetelekezwa
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Aliyetelekezwa kwa saratani afariki
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mbwa aliyetelekezwa apata ofa ya makazi
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Zungu achangiwa fomu ya ubunge Ilala
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SHIRIKISHO la wanafunzi wa Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, limesema linaridhishwa na kazi ya utekelezaji wa ilani wa Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM).
Kutokana na hali hiyo wanafunzi hao waliendesha harambee na kukusanya Sh 75,000 ambazo walimkabidhi mbunge huyo kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Akizungumza juzi katika semina ya itikadi ya kujadili utekelezaji wa ilani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)
Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]
The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...
11 years ago
GPLSUZAN PETER ACHANGIWA MSAADA WA BIASHARA NA WAFANYAKAZI GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Lowassa achangiwa fedha za kuchukua fomu na Wana CCM mkoa wa Tabora
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0GUCWr_POg/VXAZojFBHEI/AAAAAAAAUcw/gHNljl9h6R4/s640/Lowassa_Mchango.jpg)
Mzee wa CCM wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Yusuf Bundala Kasubi, (kulia) akimkabidhi Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, zaidi ya shilingi milioni moja, zilizochangwa na wanachama wa CCM mkoani Tabora, ili kumuwezesha mtangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ili azitumia kulipia ada ya kuchukua fomu za kuwani urais kupitia chama hicho.
Hafla ya kukabidhi fedha hizo ilifanyika nyumbani kwa Mtangaza nia huyo, mjini Dodoma...