Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi wa Lowassa atimuliwa

MTZ jmosi new 24 Nov 2015.indd*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda

*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.

Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kaseja atimuliwa Yanga

kasejaJUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri atimuliwa Ghana

Rais wa Ghana, John Mahama amewaondoa Waziri wa Michezo na naibu wake katika wizara hiyo baada ya timu ya taifa ya  Black Stars kufanya vibaya katika Kombe la Dunia

 

11 years ago

GPL

Brandts atimuliwa Yanga

Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu KOCHA Ernie Brandts hana chake tena Yanga na ndani ya siku mbili, uongozi wa klabu hiyo utatangaza kumtimua.
Taarifa za uhakika ambazo Championi Jumatatu limezipata kutoka ndani ya Yanga, zimeeleza Brandts ameshafukuzwa kazi.
“Kweli Brandts ameonekana hafai na wakubwa walikaa jana kikao mara tu baada ya mechi ya Simba na Yanga, wamefikia hatua ya kumuachisha kazi. “Mimi...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE ATIMULIWA SAUZ!

Sifael Paul na Imelda Mtema
HABARI ikufikie kuwa muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutimuliwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na sasa amekuwa akionekana Bongo akirandaranda mitaani. Muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’. TUJIUNGE JOHANNESBURG
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho...

 

9 years ago

Mwananchi

Mourinho atimuliwa Chelsea

Kocha Jose Mourinho ametimuliwa na klabu ya Chelsea baada ya kupata kipigo cha mabao 2-1 mbele ya Leicester City na kuendeleza jinamizi la kupoteza michezo lililoikumba klabu hiyo msimu huu.

 

11 years ago

GPL

KOCHA WA SPURS ATIMULIWA

Kocha wa Tottenham Hotspur aliyetimuliwa, Timothy Sherwood. KOCHA wa timu ya Tottenham Hotspur, Timothy Sherwood ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi cha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45 alianza kukinoa kikosi cha Spurs chenye maskani yake London tangu mwaka 2013.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi wa shamba ajinyonga

MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Somali atimuliwa

Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu wa taifa hilo Abdiweli Sheikh Ahmed mamlakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani