Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri mkuu wa Somali atimuliwa

Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu wa taifa hilo Abdiweli Sheikh Ahmed mamlakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu Thailand atimuliwa

Mahakama Nchini Thailand imeamuru Waziri mkuu wa Nchi hiyo Yingluck Shinawatra kuondoka madarakani baada ya kumkuta na hatia ya kutumia vibaya mamlaka yake.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MKUU SOMALIA ATIMULIWA LEO

Waziri Mkuu wa Somalia, Abdiweli Sheikh Ahmed (kushoto). Wabunge wa Somalia leo wamemng'oa Waziri Mkuu wa taifa hilo Abdiweli Sheikh Ahmed madarakani kutokana na kutokuwa na imani naye!

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu mpya aidhinishwa Somali

Bunge la Somalia limemuidhinisha waziri mkuu mpya akiwa afisa wa tatu kuhudumu katika wadhfa huo katika kipindi cha miaka miwili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura dhidi ya waziri mkuu yapigwa Somali

Wabunge nchini Somalia wanapiga kura ya kutokuwa na imani dhidi ya waziri mkuu Abdiweli Sheikh Ahmed.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri atimuliwa Ghana

Rais wa Ghana, John Mahama amewaondoa Waziri wa Michezo na naibu wake katika wizara hiyo baada ya timu ya taifa ya  Black Stars kufanya vibaya katika Kombe la Dunia

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya hapana: Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar atimuliwa

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW. -Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
Bungeni mara kadhaa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!

IMGS2612

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa  akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati alipomtembelea nyumbani kwake katika kijiji cha Zuzu, nje kidogo ya mji wa Dodoma Novemba 21, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMGS2602   Mke wa Waziri  Mkuu, Mama Mary Majaliwa  (kushoto) akikaribishwa na mke wa Waziri Mkuu, Mstaafu Mama Tunu Pinda wakati alipowasili nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda katika kijiji cha  Zuzu nje kidogo ya mji wa Dodoma kwa mazungumzo Novemba 21, 2015  ....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani