Kura ya hapana: Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar atimuliwa
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura ya hapana yawagawa Zanzibar
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Mwanasheria Mkuu Zanzibar anastahili pongezi
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman. Ingawa Rais Shein amefanya mabadiliko hayo kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Zanzibar...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKANUSHA MADAI MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA GAZETI LA MTANZANIA KUHUSU KUJIUZULU KWA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UatwPMY_cFo/VCQeKVrwfuI/AAAAAAAGlvM/HroF3h7LDYA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FOrbVArBTUA/VCQeMNqShrI/AAAAAAAGlvc/5UFcbBKdCK0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_H2aWVQ9oU/VCQeQNrbX5I/AAAAAAAGlvk/3QKIh_jndRE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MAKAMU wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
CHADEMA: Pigeni kura ya hapana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Ugiriki wapiga kura ya Hapana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
CUF yapongeza kura za hapana
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara Magdalena Sakaya.
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Wananchi (CUF), kimewapongeza Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kupiga kura ya wazi ya hapana kuhusu Rasimu inayopendekezwa licha ya kuchukua posho zote za Bunge hilo wakati wakijua fika kuwa hakuna Katiba isiyokuwa na maridhiano.
Akizungumza katika Mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Isakamuleme na Silambo vilivyopo katika Kata ya...