CHADEMA: Pigeni kura ya hapana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Oct
‘Pigeni kura mlikojiandikisha’
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwenda kupiga kura ya urais, ubunge na udiwani katika vituo walivyojiandikisha kulingana na tamko la sheria ya uchaguzi na si vinginevyo.
9 years ago
Habarileo24 Oct
TOC: Wanamichezo pigeni kura kwa amani
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imewataka wanamichezo wote wenye haki ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kesho kutumia haki yao ya kikatiba.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura ya hapana yawagawa Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Ugiriki wapiga kura ya Hapana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
CUF yapongeza kura za hapana
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara Magdalena Sakaya.
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Wananchi (CUF), kimewapongeza Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kupiga kura ya wazi ya hapana kuhusu Rasimu inayopendekezwa licha ya kuchukua posho zote za Bunge hilo wakati wakijua fika kuwa hakuna Katiba isiyokuwa na maridhiano.
Akizungumza katika Mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Isakamuleme na Silambo vilivyopo katika Kata ya...
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Nitapiga kura ya hapana kwa Katiba
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba nimejiridhisha kwamba katiba iliyopendekezwa ilipitishwa kwa hila kwa kuzingatia matakwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutokana na mazingira ya upitishwaji...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Kura za hapana,siri zarindima bungeni
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://mzalendo.net/wp-content/uploads/2014/02/bunge1-430x320.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wajumbe watatu wanaowakilisha madherhebu ya dini na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, walipewa fursa ya kuzungumza na kutoa kauli za kuwashawishi wajumbe wakubali...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Kura ya hapana yatikisa Bunge Maalumu la Katiba