Kura za hapana,siri zarindima bungeni
Kampeni kali zatawala kwa wajumbe
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, jana walianza kupiga kura kupitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, huku ikifanyika kampeni kali kusaka theluthi mbili za wajumbe baada ya suala la Mahakama ya Kadhi kushindikana kuingizwa kwenye rasimu hiyo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wajumbe watatu wanaowakilisha madherhebu ya dini na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, walipewa fursa ya kuzungumza na kutoa kauli za kuwashawishi wajumbe wakubali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CJh-KGw7Bw*gfdnPnd39g*4t-O7h3Nk9rb0SxVHGuJ4uOuCZjplaCjgpvMKTT622lEOpbMDCiR4ssScSDakjwZ/maalimseif.jpg?width=650)
MAALIM SEIF: IPIGWE KURA YA SIRI BUNGENI
11 years ago
Mwananchi28 Feb
‘Nitatoka bungeni CCM wakipitisha kura ya siri’
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
CHADEMA: Pigeni kura ya hapana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura ya hapana yawagawa Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Ugiriki wapiga kura ya Hapana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
CUF yapongeza kura za hapana
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara Magdalena Sakaya.
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Wananchi (CUF), kimewapongeza Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kupiga kura ya wazi ya hapana kuhusu Rasimu inayopendekezwa licha ya kuchukua posho zote za Bunge hilo wakati wakijua fika kuwa hakuna Katiba isiyokuwa na maridhiano.
Akizungumza katika Mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Isakamuleme na Silambo vilivyopo katika Kata ya...
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Nitapiga kura ya hapana kwa Katiba
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba nimejiridhisha kwamba katiba iliyopendekezwa ilipitishwa kwa hila kwa kuzingatia matakwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutokana na mazingira ya upitishwaji...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Kwa katiba hii kura yangu ni hapana
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba, nimejiridhisha kwamba nikizingatia mimi ni mkweli na nina uhuru wa kupiga kura ya maoni, ya kwangu ni “hapana, hapana, hapana”....