Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kura za hapana,siri zarindima bungeni

  Kampeni kali zatawala kwa wajumbeWajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, jana walianza kupiga kura kupitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, huku ikifanyika kampeni kali kusaka theluthi mbili za wajumbe baada ya suala la Mahakama ya Kadhi kushindikana kuingizwa kwenye rasimu hiyo.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wajumbe watatu wanaowakilisha madherhebu ya dini na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, walipewa fursa ya kuzungumza na kutoa kauli za kuwashawishi wajumbe wakubali...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAALIM SEIF: IPIGWE KURA YA SIRI BUNGENI

WIKI iliyopita safu hii, kutokana na mambo ya kiitifaki, ilihamia Ofisi Ndogo ya Chama Cha Wananchi, CUF, Buguruni,  Dar na kukutana na Katibu Mkuu wake ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,  Maalim Seif Sharif Hamadi na kufanya naye mahojiano maalum. Waandishi Elvan Stambuli (pichani juu kushoto) na Ojuku Abrahamu walimhoji mambo mbalimbali na baadhi ya maswali na majibu ni haya yafuatayo: Mwandishi: Ipo...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nitatoka bungeni CCM wakipitisha kura ya siri’

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joseph Selasini ametishia atakuwa wa kwanza kuondoka bungeni kama CCM watafanikisha kampeni zao za kuwashawishi wajumbe wake kutetea misimamo mbalimbali, ukiwamo wa kura ya siri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Pigeni kura ya hapana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya hapana yawagawa Zanzibar

Uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman wa kupinga vifungu 22 vya Rasimu ya Katiba na kupiga kura ya hapana, umeibua mjadala mkali Zanzibar na kuwapasua vichwa wanasheria, wanasiasa na wananchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki wapiga kura ya Hapana

Maelfu ya raia wa Ugirik usiku wa leo wametawanyika katika mitaa ya mjini Anthens karibu na jengo la bunge,

 

10 years ago

Dewji Blog

CUF yapongeza kura za hapana

magdalena-sakaya

Naibu Katibu Mkuu wa  Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara Magdalena Sakaya.

Na Mwandishi wetu

CHAMA   Cha Wananchi (CUF), kimewapongeza  Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kupiga kura ya wazi ya hapana kuhusu Rasimu inayopendekezwa licha ya kuchukua posho zote za Bunge hilo wakati wakijua fika kuwa hakuna Katiba isiyokuwa na maridhiano.

Akizungumza katika Mikutano ya hadhara katika Vijiji vya Isakamuleme na Silambo vilivyopo katika Kata ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa

>Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba waliopiga kura za hapana wamelazimika kuondoka Dodoma na kurudi Zanzibar kwa madai ya vitisho walivyopata kutoka kwa wenzao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nitapiga kura ya hapana kwa Katiba

BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba nimejiridhisha kwamba katiba iliyopendekezwa ilipitishwa kwa hila kwa kuzingatia matakwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutokana na mazingira ya upitishwaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwa katiba hii kura yangu ni hapana

BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba, nimejiridhisha kwamba nikizingatia mimi ni mkweli na nina uhuru wa kupiga kura ya maoni, ya kwangu  ni “hapana, hapana, hapana”....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani