Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa katiba hii kura yangu ni hapana

BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba, nimejiridhisha kwamba nikizingatia mimi ni mkweli na nina uhuru wa kupiga kura ya maoni, ya kwangu  ni “hapana, hapana, hapana”....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Nitapiga kura ya hapana kwa Katiba

BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba nimejiridhisha kwamba katiba iliyopendekezwa ilipitishwa kwa hila kwa kuzingatia matakwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutokana na mazingira ya upitishwaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya hapana yatikisa Bunge Maalumu la Katiba

Wajumbe wa Bunge la Maalumu la Katiba jana walianza kupiga kura za kuamua ibara za Katiba inayopendekezwa, huku kura za wajumbe kutoka Zanzibar zikiibua wasiwasi wa iwapo theluthi mbili itapatikana au la.

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya

Joseph-ButikuNa Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema si dhambi kwa wananchi kupiga kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za kusema hapana kwa Katiba Inayopendekezwa

Sheria ya Kura ya Maoni, Sheria namba 4 ya Mwaka 2014 inaweka masharti haya “35(3) Pale ambapo kura zilizopigwa za “NDIYO” ya swali la kura ya maoni hazijazidi asilimia 50 ya jumla ya kura halali zote zilizopigwa Tanzania Bara au Tanzania Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakati ukifika mnisaidie kusema hapana kwa katiba inayopendekezwa

 Wiki hii nieleze mapungufu ya makusudi ambayo Katiba inayopendekezwa imesheheni na iwe mwanzo wa rai yangu kwenu Watanzania kwamba wakati ukifika mnisaidie kuipigia kura za kutosha za hapana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki wapiga kura ya Hapana

Maelfu ya raia wa Ugirik usiku wa leo wametawanyika katika mitaa ya mjini Anthens karibu na jengo la bunge,

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Pigeni kura ya hapana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya hapana yawagawa Zanzibar

Uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman wa kupinga vifungu 22 vya Rasimu ya Katiba na kupiga kura ya hapana, umeibua mjadala mkali Zanzibar na kuwapasua vichwa wanasheria, wanasiasa na wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani