Kwa katiba hii kura yangu ni hapana
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba, nimejiridhisha kwamba nikizingatia mimi ni mkweli na nina uhuru wa kupiga kura ya maoni, ya kwangu ni “hapana, hapana, hapana”....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Nitapiga kura ya hapana kwa Katiba
BAADA ya kufuatilia mwenendo mzima wa Bunge Maalum la Katiba nimejiridhisha kwamba katiba iliyopendekezwa ilipitishwa kwa hila kwa kuzingatia matakwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutokana na mazingira ya upitishwaji...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Kura ya hapana yatikisa Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya
Na Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Sababu za kusema hapana kwa Katiba Inayopendekezwa
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Wakati ukifika mnisaidie kusema hapana kwa katiba inayopendekezwa
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Ugiriki wapiga kura ya Hapana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
CHADEMA: Pigeni kura ya hapana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewataka Watanzania kujiandaa kupiga kura ya hapana dhidi ya katiba itakayopelekwa kwao ikiwa na muundo wa serikali mbili unaotakiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura ya hapana yawagawa Zanzibar