Mwanasheria Mkuu Zanzibar anastahili pongezi
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (AG), Othman Masoud Othman. Ingawa Rais Shein amefanya mabadiliko hayo kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Zanzibar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Katibu Mkuu Ardhi anastahili pongezi
KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la migogoro mingi ya ardhi nchini ambayo baadhi imesababisha vifo vya watu mbalimbali. Hakuna ubishi kwamba migogoro mingi ya ardhi imetokana na...
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kura ya hapana: Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar atimuliwa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKANUSHA MADAI MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA GAZETI LA MTANZANIA KUHUSU KUJIUZULU KWA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-qY1vg3R0ul0/VCQeKr5yMII/AAAAAAAGlvQ/adTmMSaJHjQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UatwPMY_cFo/VCQeKVrwfuI/AAAAAAAGlvM/HroF3h7LDYA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FOrbVArBTUA/VCQeMNqShrI/AAAAAAAGlvc/5UFcbBKdCK0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_H2aWVQ9oU/VCQeQNrbX5I/AAAAAAAGlvk/3QKIh_jndRE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MAKAMU wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0jvxFfaYQeY/UwJKWyXChiI/AAAAAAAFNo0/2kw_G8dwI2k/s72-c/images.jpg)
Naibu mwanasheria mkuu aomba mahakama kuu itupilie mbali kesi ya kikatiba dhidi ya waziri mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jvxFfaYQeY/UwJKWyXChiI/AAAAAAAFNo0/2kw_G8dwI2k/s1600/images.jpg)
George Masaju (pichani) amedai mahakamani katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kwa mujibu wa katiba mamlaka ya mahakama kuingilia mwenendo wa bunge yameondolewa.
Pia, Mhe Masaju amedai kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi bunge halina mamlaka ya kuingilia mwenendo wa mahakama na kwamba kesi iliyopo mahakamani haina mashiko ya kisheria mahakama...