Naibu mwanasheria mkuu aomba mahakama kuu itupilie mbali kesi ya kikatiba dhidi ya waziri mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jvxFfaYQeY/UwJKWyXChiI/AAAAAAAFNo0/2kw_G8dwI2k/s72-c/images.jpg)
NAIBU Mwanasheria Mkuu, Mhe
George Masaju (pichani) amedai mahakamani katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kwa mujibu wa katiba mamlaka ya mahakama kuingilia mwenendo wa bunge yameondolewa.
Pia, Mhe Masaju amedai kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi bunge halina mamlaka ya kuingilia mwenendo wa mahakama na kwamba kesi iliyopo mahakamani haina mashiko ya kisheria mahakama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA DHIDI YA SPIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
11 years ago
Michuzi17 Apr
kesi ya kikatiba dhidi ya Waziri Mkuu yapigwa kalenda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LtLAdpl--Vs/Xs_KTIlWCYI/AAAAAAALr5E/J1MaQGGTfd0Rjvuh6-UJREewa80feejAACLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
Marekebisho katika sheria hizo yalihusu kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s72-c/zitto.jpg)
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s1600/zitto.jpg)
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...
10 years ago
Michuzi04 Sep
Naibu Mwanasheria Mkuu amewasilisha Mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwamba maombi hayo ni batili kisheria na hayawezi kuthibitishwa mahakamani, hivyo yatupiliwe mbali.
Masaju amewasilisha pingamizi hilo akitoa sababu nne, akiitaka mahakama kutupilia mbali maombi yaliyopo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s72-c/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s640/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI NDUGAI ILIYOFUNGULIWA KIKATIBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4jC1LkWRkg/XtePMQIFHjI/AAAAAAALscE/nTKW5u9o-Cg2ZcsDynjDBQ5L2f6HkxhowCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW