Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri mkuu mpya aidhinishwa Somali

Bunge la Somalia limemuidhinisha waziri mkuu mpya akiwa afisa wa tatu kuhudumu katika wadhfa huo katika kipindi cha miaka miwili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Somali atimuliwa

Wabunge wa Somali wameng'oa waziri mkuu wa taifa hilo Abdiweli Sheikh Ahmed mamlakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura dhidi ya waziri mkuu yapigwa Somali

Wabunge nchini Somalia wanapiga kura ya kutokuwa na imani dhidi ya waziri mkuu Abdiweli Sheikh Ahmed.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) wa katikati alipokuwa anaingia kwenye uwanja uliotumika kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Mhe. Pakalitha Mosisili jijini Maseru jana. wengine katika picha, kutoka kulia ni Bibi Talha Mohammed, Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Mhe. Radhia Msuya, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ambaye pia anawakilisha Lesotho. kutoka kushoto ni Maafisa wa Serikali ya Lesotho.Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Mhe....

 

11 years ago

BBCSwahili

Tunisia yapata waziri mkuu mpya

Wanasiasa nchini Tunisia wamefikia makubaliano kuhusu waziri mkuu mpya baada ya mazungumzo kati ya chama tawala cha Ennahda na upinzani.

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri Mkuu Mpya ni Majaliwa Kassim

 

kassimNA MAREGESI PAUL, DODOMA

WAZIRI Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, amesema hakutegemea kupata nafasi hiyo baada ya Bunge kumpitisha kwa kura nyingi jana.

Majaliwa alitoa kauli hiyo bungeni alipokuwa akiwashukuru wabunge dakika chache baada ya Bunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano kwa kupata kura 258 kati ya 351 zilizopigwa.

“Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuongoza wote kuwa hapa leo, na nawashukuru wabunge wote kwa kupitisha jina...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

5 years ago

BBCSwahili

Mfahamu Alain-Guillaume Bunyoni, Waziri Mkuu mpya wa Burundi

Alain-Guillaume Bunyoni ni mtu anayefahamika sana nchini Burundi kutokaa na mamlaka aliyonayo ndani ya utawala wa chama tawala cha CNDD-FDD tangu mwaka 2005.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI UMMY AMPOKEA KATIBU MKUU MPYA WA AFYA PROFESA MABELE MCHEMBE LEO



Katibu Mkuu Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya Prof. Mabele Mchembe awasili kwenye ofisi ndogo ya wizara iliyopo jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Waziri wa wizara hiyo Mh.Ummy Mwalimu

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW. -Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
Bungeni mara kadhaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani