Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfahamu Alain-Guillaume Bunyoni, Waziri Mkuu mpya wa Burundi

Alain-Guillaume Bunyoni ni mtu anayefahamika sana nchini Burundi kutokaa na mamlaka aliyonayo ndani ya utawala wa chama tawala cha CNDD-FDD tangu mwaka 2005.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Muungano wa Jamhuri ya Korea, Ahn Hong Joon (kulia kwake) na msafara wake baada ya mazungumzo, kwenye makazi ya Waziri Mkuumjini Dodoma Machi 12, 2014. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Muungano waJjamhuri ya Korea, Ahn Hong Joon baada ya mazungumzo kwenye makazi ya Waziri Mkuu mjni Dodoma Machi, 12, 2014. Waziri...

 

5 years ago

BBCSwahili

Evariste Ndayishimiye: Mfahamu rais mteule wa Burundi na mwandani wa Nkurunziza

Jenerali Ndayishimiye, ni mwandani wa karibu wa rais Pierre Nkurunziza, amekuwa katibu mkuu wa CNDD-FDD tangu mwaka wa 2016.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) wa katikati alipokuwa anaingia kwenye uwanja uliotumika kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Mhe. Pakalitha Mosisili jijini Maseru jana. wengine katika picha, kutoka kulia ni Bibi Talha Mohammed, Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Mhe. Radhia Msuya, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ambaye pia anawakilisha Lesotho. kutoka kushoto ni Maafisa wa Serikali ya Lesotho.Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Mhe....

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi tayari kwa Uchaguzi mkuu, Waziri

Serikali ya Burundi imeihakikishia jamii ya kimataifa kuwa hali ya usalama imeimarika baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWAATOA POLE KWA WANANCHI WA BURUNDI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2020 ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza na kutoa pole kwa wananchi wa nchi hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

“Kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli nimekuja hapa kutoa pole na salamu za rambirambi kwa Serikali na wananchi wa Burundi kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa nchi ya Burundi. Mheshimiwa Rais na Watanzania wote tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NA QATAR

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Burundi hapa Nchini  Bwana Issa Ntambuka ambaye alifika ofisini kwa Waziri Mkuu leo jijini Dar es salaam kwa mazungumzo ya kikazi. Waziri mkuu Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini Balozi wa Burundi hapa nchini Bwana Issa Ntambuka ambaye alifaka ofisini kwa Waziri Mkuu leo Jijini Dar es salaam kwamazungumzo ya kikazi. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akutana na Balozi wa Qatar hapa Nchini Bwana Abdullah Jassim Al Maadadi ambaye alifika ofisini...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA, RAIS MSTAAFU KIKWETE WAKISHIRIKI MAZISHI YA NKURUNZIZA BURUNDI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais mstaafu , Dk. Jakaya Kikwete, wakitoa heshima baada ya kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza katika mazishi yaliyofanyika Gitega nchini Burundi, Juni 26, 2020.

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri Mkuu Mpya ni Majaliwa Kassim

 

kassimNA MAREGESI PAUL, DODOMA

WAZIRI Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, amesema hakutegemea kupata nafasi hiyo baada ya Bunge kumpitisha kwa kura nyingi jana.

Majaliwa alitoa kauli hiyo bungeni alipokuwa akiwashukuru wabunge dakika chache baada ya Bunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano kwa kupata kura 258 kati ya 351 zilizopigwa.

“Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuongoza wote kuwa hapa leo, na nawashukuru wabunge wote kwa kupitisha jina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani