WAZIRI MKUU MAJALIWAATOA POLE KWA WANANCHI WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ajj6eT79NCQ/XuohY_UV61I/AAAAAAAAzts/uX6DLb7rK8YsHaMC4NrcAcYkIjHoduYdgCLcBGAsYHQ/s72-c/Eat3fi5XgAEKxxG.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2020 ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza na kutoa pole kwa wananchi wa nchi hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
“Kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli nimekuja hapa kutoa pole na salamu za rambirambi kwa Serikali na wananchi wa Burundi kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa nchi ya Burundi. Mheshimiwa Rais na Watanzania wote tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Burundi tayari kwa Uchaguzi mkuu, Waziri
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU ATAKA ELIMU ZAIDI YA URUTUBISHAJI WA VYAKULA ITOLEWE KWA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s200/images.jpg)
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema kazi kubwa zaidi inabidi ifanyike ili elimu ya kutosha iweze kufikishwa kwa mabilioni ya watu ambao milo yao ya kila siku haina virutubisho vya kutosha.
Ametoa kauli hiyo jana...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Waziri Mkuu aitaka TPA kupitia upya zoezi la fidia kwa wananchi wa Kigoma
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari. (Picha na Emmanuel Senny).
Wananchi wa Kata ya kibirizi mkoani Kigoma wakiwa na mabango yaliyolenga kumpa ujumbe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu fidia za ujenzi wa bandari.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akikagua soko jipya la samaki lililoko kata ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya...
10 years ago
Michuzi01 Jul
WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA
![1nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1nh.jpg)
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri.
![2nh](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/2nh.jpg)
![nh3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nh3.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s72-c/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s640/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/32eddfd1-495c-445e-a9b3-2b29c0ee0d32.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda ambaye ni kaka mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_093907_752.jpg)
DC UBUNGO ATEMBELEA KATA ZA KIMARA NA SARANGA KUONA ATHARI NA KUWAPA POLE WANANCHI KWA MAAFA YA MVUA YALIYOWAPATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200307_093907_752.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ametembelea Kata za Kimara na Saranga ili kuona athari na kuwapa pole wananchi kutokana maafa yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, juzi.
Mkuu wa Wilaya aliongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage.
DC Makori aliwaambia wananchi wa Mtaa wa Golani Kata ya Kimara kuwa amefika kwao ili kujuliana hali na kuwapa pole wale wote...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)