Tunisia yapata waziri mkuu mpya
Wanasiasa nchini Tunisia wamefikia makubaliano kuhusu waziri mkuu mpya baada ya mazungumzo kati ya chama tawala cha Ennahda na upinzani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Tunisia yapata katiba mpya
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Waziri mkuu wa Tunisia ang'atuka
10 years ago
MichuziTCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s72-c/New+Picture.png)
SUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s1600/New+Picture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...
10 years ago
Mwananchi05 May
NMG yapata ofisa mtendaji mkuu mpya
11 years ago
Habarileo21 Jan
NCCR-Mageuzi yapata Katibu Mkuu mpya
ALIYEKUWA Katibu Mkuu taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Samuel Ruhuza amejitoa katika kinyang’anyiro cha kutetea nafasi yake hiyo. Hali hiyo imempatia ushindi wa kishindo, Mosena Nyambabe, ambaye alishinda kwa kura 57 kati ya kura 71 kwenye uchaguzi wa chama hicho.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s72-c/AAAA%2B3034.jpg)
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho
![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s1600/AAAA%2B3034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XVc4SJ4l_MY/VQlCeDZ2OYI/AAAAAAAAb1Y/Hl2ThUch93E/s1600/AAAA%2B3151.jpg)
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Waziri Mkuu Mpya ni Majaliwa Kassim
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
WAZIRI Mkuu mteule, Kassim Majaliwa, amesema hakutegemea kupata nafasi hiyo baada ya Bunge kumpitisha kwa kura nyingi jana.
Majaliwa alitoa kauli hiyo bungeni alipokuwa akiwashukuru wabunge dakika chache baada ya Bunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano kwa kupata kura 258 kati ya 351 zilizopigwa.
“Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuongoza wote kuwa hapa leo, na nawashukuru wabunge wote kwa kupitisha jina...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Waziri mkuu mpya aidhinishwa Somali