NMG yapata ofisa mtendaji mkuu mpya
Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Nation Media Group (NMG) imemtangaza Joseph Muganda kuwa Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu mpya atakayeshika hatamu ya uongozi wa kampuni hiyo kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
DC aagiza ofisa mtendaji, mwalimu mkuu waadhibiwe
Na Clarence Chilumba, Mtwara
MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile, ameuagiza uongozi wa halmashauri hiyo, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mayanga, kwa kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.
Pia ameagiza watendaji hao kushushwa vyeo kutoka Ofisa Mtendaji wa Kata hadi Mtendaji wa Kijiji, ambapo kwa upande wa Mwalimu Mkuu wa Sekondari ya Mayanga, kwa sasa anatakiwa kuwa mwalimu wa kawaida.
Aidha, ametoa angalizo kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s72-c/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s640/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_VhbGj3oYc/VdgEGnHmmII/AAAAAAAAUAc/MF2G699IdSE/s640/DSCF6862%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UyYgrmOk2lI/VdgERQWPBGI/AAAAAAAAUBE/VzY-AnVLGaY/s640/DSCF6867%2B%25281280x960%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Feb
NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
BODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.
10 years ago
Bongo511 Aug
Vodacom Tanzania yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA.
10 years ago
Habarileo05 Mar
Majambazi waua ofisa mtendaji
OFISA Mtendaji wa Kijiji cha Mpona kata ya Totowe Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Bahati Mwanguku (38) ameuawa na majambazi wawili wenye mapanga kisha kuporwa pikipiki na simu ya kiganjani.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CHADEMA yamuweka kitimoto Ofisa Mtendaji
WAKATI kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani zikiwa zimeanza rasmi jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemuweka chini ya ulinzi Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nyasura, Wilaya ya Bunda...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qxLZZri3zyU/Vco8yXfpqSI/AAAAAAAHwHw/8-7huTseWEY/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
VODACOM TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA/Vodacom Tanzania Announces New Managing Director
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ofisa mtendaji kata aahirisha kesi ya Nassari Arumeru