OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s72-c/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,( MUWSA ) ambaye kwa sasa ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco,Mhandisi Cyprian Luhemeja akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Patrick Kibasa ,karatasi zenye ndoto za wafanyakazi wa Mamlaka hiyo hukuakimtaka kuzifanyia kazi.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,wakiwa katika kikao maalumu kwa ajili ya kuagana na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo.
Ofisa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AuRhG-nEgWs/VUrUm-4Ja3I/AAAAAAAAPEg/wtupvvPNWM4/s72-c/E86A6106%2B(800x533).jpg)
MKURUGENZI MUWSA ,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AWAAGA WAFANYAKAZI,NI BAADA YA KUHAMISHIWA DAWASCO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-AuRhG-nEgWs/VUrUm-4Ja3I/AAAAAAAAPEg/wtupvvPNWM4/s640/E86A6106%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-46smSm4aufo/VUrU0g9eewI/AAAAAAAAPEo/U5xiPJuhtKA/s640/E86A6109%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qKng9C9W1NU/VUrVSdkJ9BI/AAAAAAAAPE4/NSj2mNn0wqE/s640/E86A6115%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TUBRyAUTDFk/VUrVjXH7PBI/AAAAAAAAPFY/6v8yJDsZV2Y/s640/E86A6147%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o526LeQTMUE/VUrVXzQf0LI/AAAAAAAAPFI/uQMvGZjHbEQ/s640/E86A6133%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
DC aagiza ofisa mtendaji, mwalimu mkuu waadhibiwe
Na Clarence Chilumba, Mtwara
MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile, ameuagiza uongozi wa halmashauri hiyo, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mayanga, kwa kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.
Pia ameagiza watendaji hao kushushwa vyeo kutoka Ofisa Mtendaji wa Kata hadi Mtendaji wa Kijiji, ambapo kwa upande wa Mwalimu Mkuu wa Sekondari ya Mayanga, kwa sasa anatakiwa kuwa mwalimu wa kawaida.
Aidha, ametoa angalizo kwa...
10 years ago
Mwananchi05 May
NMG yapata ofisa mtendaji mkuu mpya
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Mh. Simbachawene amteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa DART
Mhandisi Ronald Lwakatare.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007, amemteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es salaam (DART)...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s72-c/New%2BPicture.png)
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s1600/New%2BPicture.png)
10 years ago
Habarileo05 Mar
Majambazi waua ofisa mtendaji
OFISA Mtendaji wa Kijiji cha Mpona kata ya Totowe Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Bahati Mwanguku (38) ameuawa na majambazi wawili wenye mapanga kisha kuporwa pikipiki na simu ya kiganjani.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CHADEMA yamuweka kitimoto Ofisa Mtendaji
WAKATI kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani zikiwa zimeanza rasmi jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemuweka chini ya ulinzi Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nyasura, Wilaya ya Bunda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bTg5Z0oliPY/XpmaIca-InI/AAAAAAALnOw/fMyzx6kIL3ADfrlaPEvoVY6qUjthHDy1wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B1.35.26%2BPM.jpeg)
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ofisa mtendaji kata aahirisha kesi ya Nassari Arumeru