MKURUGENZI MUWSA ,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AWAAGA WAFANYAKAZI,NI BAADA YA KUHAMISHIWA DAWASCO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-AuRhG-nEgWs/VUrUm-4Ja3I/AAAAAAAAPEg/wtupvvPNWM4/s72-c/E86A6106%2B(800x533).jpg)
Aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshu (MUWSA) mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa kauli ya kuwaaga baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Mtendaji mkuu DAWASCO.
Kauli ya Mhandisi Luhemeja ya kuwaaga wafanyakazi hao ilionekana kama mwiba na kuzua simanzi kuu kwa watumishi hao waliofanya kazi na mkurugenzi huyo kwa kipindi cha mwaka mmoja na miezi 10.
Mhandisi Luhemeja akijaribu kuwapatia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s72-c/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s640/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_VhbGj3oYc/VdgEGnHmmII/AAAAAAAAUAc/MF2G699IdSE/s640/DSCF6862%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UyYgrmOk2lI/VdgERQWPBGI/AAAAAAAAUBE/VzY-AnVLGaY/s640/DSCF6867%2B%25281280x960%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Mkurugenzi wa Muwsa aachiwa huru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Mkurugenzi Muwsa atoa siku 90
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Wafanyakazi MUWSA walia na ufisadi
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Maji Safi Moshi (MUWSA), wamemtaka Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, kuunda timu itakayochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma yanayofanywa na menejimenti ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bTg5Z0oliPY/XpmaIca-InI/AAAAAAALnOw/fMyzx6kIL3ADfrlaPEvoVY6qUjthHDy1wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B1.35.26%2BPM.jpeg)
10 years ago
Habarileo13 Mar
Mkurugenzi, Meneja wa Maji Dawasco watakiwa kujitathmini
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka watendaji wakuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka jijini Dar es Salaam (Dawasco), Mkurugenzi wa Maji na Meneja wa Maji kujitathmini na kuona kama wanafaa kufanya kazi hiyo ama waachie nafasi zao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0038.jpg)
UTEUZI; MHANDISI TAMIMU TWAHA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA, MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200427-WA0038.jpg)
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imemtaja aliyeteuliwa kuwa ni Mhandisi Tamimu Twaha Katakweba. Aidha, kufuatia uteuzi huu Mhandisi Katakweba anakuwa Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa MORUWASA.
Uteuzi huu umefanyika chini ya Sheria Namba 5 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Kitengo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s72-c/ngonyani.jpg)
Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s640/ngonyani.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mgombea mwenza, Samia Suluhu, awaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake ofisi ya Makamu wa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)