Mgombea mwenza, Samia Suluhu, awaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake ofisi ya Makamu wa Rais
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake. uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA SULUHU AKABIDHIWA RASMI OFISI, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Samia Suluhu mgombea mwenza wa Magufuli
10 years ago
VijimamboSamia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza
9 years ago
Michuzi29 Sep
MAMA SAMIA SULUHU-MGOMBEA MWENZA ALIYEPANGA KUWAPIGANIA WANAWAKE
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi katika moja ya mikutano yake ya kampeni inayoendelea nchini akiinadi ilani ya CCM.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0003.jpg)
MCHUANO wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajia kufanyika Oktoba 25, 2015 unaendelea maeneo mbalimbali ya nchini, huku vyama anuai vilivyofanikiwa kuingia katika ushindani huo wa kisiasa vikinadi ilani na sera zao kwa Watanzania ili kuwashawishi wachaguliwe.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mgombea mwenza Bi. Samia Suluhu amnadi Dk. Magufuli Wilaya za Korogwe na Lushoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-xJNP17MxYR0/VgGk8dxHo_I/AAAAAAAAECA/J8Pgn4zi9lw/s640/IMG_0026.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9OjEPBJFCK0/VgGk-XbNPBI/AAAAAAAAECo/OU8NPrrF_nM/s640/IMG_0060.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G30CiuvDnaA/VgGk7aAAaYI/AAAAAAAAEB8/DHyaJH3JGoI/s640/IMG_0025.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kUagwLk0Vb4/VgGk-i9IL8I/AAAAAAAAECc/6BIf9a-Eqkg/s640/IMG_0069.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OLxZjqKvGj0/VaJX-BI5mCI/AAAAAAABCYQ/is9uaSQcNrU/s72-c/SAMIA%2B3.jpg)
MH. MAGUFULI AMTANGAZA SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MGOMBEA MWENZA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLxZjqKvGj0/VaJX-BI5mCI/AAAAAAABCYQ/is9uaSQcNrU/s640/SAMIA%2B3.jpg)
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Mh John Pombe Magufuli amemtangaza mgombea mwenza wake kuwa ni Mh. Samia Suluhu Hassan.
Mh Magufuli amemtangaza Mh Samia wakati alipokuwa akikishukuru chama chake kwa kumteua kuipeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao baadaye mwaka huu.
Baada ya kumtangaza Mh Samia kuwa mgombea mwenza wake, ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe na vigelele.
Hii ni mara ya kwanza tangu uhuru kwa Tanzania kuwa...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO SAMIA SULUHU HASSAN ATOA WITO WA KUTUNZA MALI ASILI NA MAZINGIRA