Samia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM john Pombe Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan mara baada ya mkutano Mkuu wa CCM kuwachagua kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa Urais utakaofanyika Oktoba,2015 (picha na Freddy Maro).
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MH. MAGUFULI AMTANGAZA SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MGOMBEA MWENZA WAKE

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Mh John Pombe Magufuli amemtangaza mgombea mwenza wake kuwa ni Mh. Samia Suluhu Hassan.
Mh Magufuli amemtangaza Mh Samia wakati alipokuwa akikishukuru chama chake kwa kumteua kuipeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao baadaye mwaka huu.
Baada ya kumtangaza Mh Samia kuwa mgombea mwenza wake, ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe na vigelele.
Hii ni mara ya kwanza tangu uhuru kwa Tanzania kuwa...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Samia Suluhu mgombea mwenza wa Magufuli
>Mgombea urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amemteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Michuzi29 Sep
MAMA SAMIA SULUHU-MGOMBEA MWENZA ALIYEPANGA KUWAPIGANIA WANAWAKE

MCHUANO wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajia kufanyika Oktoba 25, 2015 unaendelea maeneo mbalimbali ya nchini, huku vyama anuai vilivyofanikiwa kuingia katika ushindani huo wa kisiasa vikinadi ilani na sera zao kwa Watanzania ili kuwashawishi wachaguliwe.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mgombea mwenza Bi. Samia Suluhu amnadi Dk. Magufuli Wilaya za Korogwe na Lushoto




10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mgombea urais mteule John Magufuli amteua Samiah Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza
Mgombea urais mteule kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amteua Samiah Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza kwenye Uchaguzi Mkuu 2015.
10 years ago
Vijimambo
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS









10 years ago
Michuzi
MGOMBEA MWENZA CCM SAMIA SULUHU HASSAN AANZA KAMPENI KILIMANJARO LEO




10 years ago
MichuziMGOMBEA URAIS MWENZA WA CCM BI. SAMIA SULUHU HASSAN ALITIKISA JIJI LA ARUSHA
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mgombea mwenza, Samia Suluhu, awaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake ofisi ya Makamu wa Rais


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania