Mkurugenzi wa Muwsa aachiwa huru
Mahakama imemwachia huru mkurugenzi mtendaji wa zamani wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira wa Mji wa Moshji (Muwsa), Anthony Kasonta aliyekuwa anakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jul
Mkurugenzi Ilala aachiwa huru
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, John Lubuva na wenzake wameachiwa huru baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kutumia vibaya madaraka, kula njama na kuitia serikali hasara ya Sh bilioni 1.7.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Mahakama yaaachia huru vigogo wa MUWSA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Moshi imewaachia huru washtakiwa wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya ufisadi, akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Moshi (MUWSA), Anthony Kasonta. Mwingine aliyeachiliwa ni aliyekuwa Kaimu Meneja wa Fedha na Utawala wa mamlaka hiyo, John Ndetiko.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Mbunge aachiwa huru
MBUNGE wa Ukerewe, mkoani Mwanza, Salvatory Machemli ameachiwa huru na Mahakama baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yakimkabili.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtuhumiwa aachiwa huru
11 years ago
Habarileo30 Jan
Kibanda aachiwa huru
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3nsIwTv3mgaEwitcZKQMNT*YcTXp7n2rA2Er*TErvyJwNvhaj8NePiBLgoNk88E3EfZClW75*qWfm82xwTE5-fP/13.gif)
EMMANUEL MBASHA AACHIWA HURU
10 years ago
Habarileo28 Nov
Shekhe Ponda aachiwa huru
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemwachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yake.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ERICK KABENDERA AACHIWA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-WfEN3UBchpE/XlO2sKPn8CI/AAAAAAACzUI/4bmCEIfzY0kvWl6Iw_cl5BZUo1KMYe0fwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mapema leo, Kabendera aliyekuwa akikabiliwa na makosa matatu, alifutiwa kosa lake alilokuwa akidaiwa Kuongoza Genge la Uhalifu.
Hukumu imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega baada ya Kabendera kusota korokoroni tangu alipofikishwa...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kondo wa Yanga aachiwa huru