Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi Muwsa atoa siku 90

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (Muwsa), Joyce Msiru ametoa siku 90 za utekelezaji wa malengo saba ya mamlaka hiyo, ikiwamo kupunguza kiwango cha maji yanayopotea hadi kufikia wastani wa asilimia 22 kwa mwaka 2015/2016.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa Muwsa aachiwa huru

Mahakama imemwachia huru mkurugenzi mtendaji wa zamani wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira wa Mji wa Moshji (Muwsa), Anthony Kasonta aliyekuwa anakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI MUWSA ,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AWAAGA WAFANYAKAZI,NI BAADA YA KUHAMISHIWA DAWASCO.

Aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshu (MUWSA) mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa kauli ya kuwaaga baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Mtendaji mkuu  DAWASCO.Kauli ya Mhandisi Luhemeja ya kuwaaga wafanyakazi hao ilionekana kama mwiba na kuzua simanzi kuu kwa watumishi hao waliofanya kazi na mkurugenzi huyo kwa kipindi cha mwaka mmoja na miezi 10.
Mhandisi Luhemeja akijaribu kuwapatia...

 

9 years ago

Vijimambo

JOYCE MSIRU, MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji sa na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWASA,Sharry Raymond akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka hiyo wakati wa utamburisho wa Mkurugenzi mpya wa MUWSA.Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA.
Mwenyekiti wa Bodi ya MUWSA,akizungumza.Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,Sharry Raymond akimtamburisha Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo,Joyce...

 

9 years ago

Vijimambo

JOYCE MSIRU ,MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI.MUWSA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji sa na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWASA,Sharry Raymond akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka hiyo wakati wa utamburisho wa Mkurugenzi mpya wa MUWSA.Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA.
Mwenyekiti wa Bodi ya MUWSA,akizungumza.Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,Sharry Raymond akimtamburisha Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo,Joyce...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku 180 zaleta neema MUWSA

MWAKA jana Rais  Jakaya Kikwete alizindua mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ikiwa ni sehemu ya juhudi ya kuitoa nchi kwenye kipato cha chini kwenda cha kati. Tanzania inatekeleza mpango...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (hawapo pichani) wakati wa kutimiza siku 360 ofisini.Baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakimsikiliza Mkurugenzi wa mamlaka hiyo(hayupo pichani)Meneja Fedha wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Grace Msiru akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake ya...

 

10 years ago

GPL

MKURUGENZI SUMATRA ATOA TAMKO KUHUSU NAULI ZA MABASI NA DARADALA

Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gillian Ngewe (kushoto) akitoa tamko, kulia kwake ni Eng. Dr. Michael Kisaka mwongozaji wa Reli nchini. Mkurugenzi huyo (kushoto) akitoa ufafanuzi. Viongozi hao…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani