KOCHA WA SPURS ATIMULIWA
![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIE0ojxYKW08mnK318F4vFKAj1LmgtdjyahFP5uNMC*DJGF7IUq7XemHGkJyHJdvFfAUt8UsIxc5FWpz*k4uKOD/sherwoodcmmain.jpg?width=650)
Kocha wa Tottenham Hotspur aliyetimuliwa, Timothy Sherwood. KOCHA wa timu ya Tottenham Hotspur, Timothy Sherwood ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi cha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45 alianza kukinoa kikosi cha Spurs chenye maskani yake London tangu mwaka 2013.
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Kriketi: Kocha wa West Indies atimuliwa
9 years ago
Bongo517 Dec
Kocha Jose Mourinho atimuliwa Chelsea
![José Mourinho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Jos%C3%A9-Mourinho-300x194.jpg)
Chelsea imemtimua meneja wake Jose Mourinho.
Kocha huyo raia wa Ureno mwenye miaka 52, alikuwa akiifundisha Chelsea kwa awamu ya pili kuanzia June 2013.
Chelsea imekuwa na msimu mbaya zaidi kwa kufungwa mechi 16 hadi sasa.
Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Juande Ramos ni majina yanayotajwa zaidi kushika nafasi yake.
Akiwa na Chelsea, kocha huyo alishinda ubingwa wa ligi kuu ya England mara tatu, mbili katika awamu yake ya kwanza kati ya mwaka 2004 na 2007.
Jiunge na...
9 years ago
Bongo510 Nov
David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad
![Moyes2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Moyes2-300x194.jpg)
David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.
Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.
Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.
Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83175000/jpg/_83175706_adebayor2_getty.jpg)
Spurs' Adebayor given time away
9 years ago
Habarileo30 Nov
Chelsea yasimamishwa na Spurs
KLABU ya Tottenham imeendeleza kutopoteza mchezo kwenye Ligi Kuu ya England, lakini ilikosa nafasi ya kujiweka nafasi ya nne kwenye msimamo baada ya kutoka sare ya bila kufungana na Chelsea.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71910000/jpg/_71910610_emmanueladebayorgetty.jpg)
Spurs disrespected me - Adebayor
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Arsenal, Spurs hakuna mbabe