Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Jose Mourinho atimuliwa Chelsea

José Mourinho

Chelsea imemtimua meneja wake Jose Mourinho.

José Mourinho

Kocha huyo raia wa Ureno mwenye miaka 52, alikuwa akiifundisha Chelsea kwa awamu ya pili kuanzia June 2013.

Chelsea imekuwa na msimu mbaya zaidi kwa kufungwa mechi 16 hadi sasa.

Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Juande Ramos ni majina yanayotajwa zaidi kushika nafasi yake.

Akiwa na Chelsea, kocha huyo alishinda ubingwa wa ligi kuu ya England mara tatu, mbili katika awamu yake ya kwanza kati ya mwaka 2004 na 2007.

Jiunge na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Jose Mourinho atimuliwa kazi Chelsea

Jose Mourinho 2

Jose Mourinho.

Meneja wa Klabu ya Chelsea ya Uingereza, Jose Mourinho amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kufululiza kwa matokeo mabovu.

The Blues walishinda Ligi Kuu England msimu uliopita lakini msimu huu mambo yamekuwa kinyume, na wapo nafasi moja tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye ligi hiyo.

Bodi ya klabu hiyo ilikutana jana kujadili hatma ya Mourinho chini ya mmiliki wa klabu hiyo, Mrusi Roman Abramovich.

Mourinho-Lampard-City-513573

Mreno huyo mwenye umri wa miaka 52 amekuwa Chelsea kwa kipindi cha pili,...

 

9 years ago

StarTV

Klabu Ya Chelsea Yamfuta kazi kocha Jose Mourinho.

 

Bodi ya klabu ya Chelsea The Blues ya England hatimaye imefikia uamauzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho chini ya mmiliki wake Roman Abramovic kufuatia  matokeo mabaya kwenye ligi kuu ya England  ikiwa katika nafasi ya 16 ya msimamo wa ligi hiyo.

Klabu hiyo bado haijatangaza rasmi lakini tayari bodi  imepeana mkono wa kwaheri  ikiwa ni miezi saba tangu  alipoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita.

Kipigo cha jumatatu wiki hii dhidi ya Leicester City  cha mabao 2-1...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao ….

Uongozi wa klabu ya Chelsea December 16 iliripotiwa kuweka kikao cha dharura kujadili mwenendo wa timu yao kwa sasa, Chelsea baada ya kukaa kikao hicho cha bodi, December 17 walitangaza rasmi kumfuta kazi Jose Mourinho na nafasi yake kubaki wazi. Stori mpya ni kuwa uongozi wa klabu ya Chelsea December 19 umetangaza rasmi kumteua kwa […]

The post Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao …. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mourinho atimuliwa Chelsea

Kocha Jose Mourinho ametimuliwa na klabu ya Chelsea baada ya kupata kipigo cha mabao 2-1 mbele ya Leicester City na kuendeleza jinamizi la kupoteza michezo lililoikumba klabu hiyo msimu huu.

 

10 years ago

Bongo5

Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho ashtakiwa na FA

Kocha wa Chelsea asiyeishiwa vituko, Jose Mourinho ameshtakiwa na chama cha soka cha England, FA kufuatia madai yake kuwa kuna ‘kampeni’ ya waamuzi dhidi ya timu yake. Mourinho alitoa matamshi hayo baada ya Chelsea kunyimwa penati dhidi ya Southampton Disemba 28 katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1. Mwamuzi Anthony Taylor alimuonesha kadi ya manjano […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea

Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.

 

10 years ago

GPL

JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA

Jose Mourinho akiwa na Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amesaini mkataba wa miaka minne kuendelea kuifundisha timu hiyo ya London. Mkataba huo wa Mourinho utamfanya aweke kibindoni kiasi cha Pauni milioni 8.5 kwa mwaka. Taarifa zimeeleza kuwa Mourinho ameongezewa mkataba huo baada ya kutwaa Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. Katika msimu huo uliopita, Mourinho alitwaa pia...

 

9 years ago

Africanjam.Com

WHAT JOSE MOURINHO SAID ABOUT WENGER BEFORE TODAY'S CHELSEA CLASH WITH ARSENAL

José Mourinho has said his history with Arsène Wenger and Arsenal will have no bearing on Chelsea’s latest meeting with the Gunners at Stamford Bridge on Saturday lunchtime and he will offer his hand to his rival before kick-off.There is no love lost between the pair and they have previous in terms of flashpoints, the most recent of which came at the Community Shield last month, when they did not shake hands after Arsenal’s victory. Wenger appeared to give Mourinho a deliberately wide berth...

 

9 years ago

MillardAyo

Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo…

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England, Chelsea wameendelea kuwa na bahati mbaya baada ya kuendelea kupata matokea mabaya mfululizo. Kilichonifikia leo ni kuhusu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kufutwa kazi baada ya kuendelea na matokeo mabaya mfululizo…uamuazi huo unaufanya uongozi wa klabu hiyo kumlipa kiasi cha pauni milioni 40 kama sehemu ya mkataba wake. […]

The post Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo… appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani