Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Rais wa Gabon anayetambulika kwa wengi kuwa ana mke mmoja anayeishi naye kwenye ikulu ya nchini mwake, ana mke wa pili anayeishi maisha ya tabu nchini Marekani. Rais Ali Bongo Ondimba aliwahi kuishi jijini L.A. kipindi ambacho baba yake alikuwa rais wa nchini hiyo. Alikutana na mwanamke aitwaye Inge mwaka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s72-c/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
MAMA ALIYETELEKEZWA NA MUMEWE AOMBA MSAADA KWA WASAMALIA WEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HiRsnuqmCw0/VHoOQt5tuvI/AAAAAAABH_k/qjC57EOvbOQ/s1600/0.1Atelekezwa%2Bna%2Bmumewe%2Banaomba%2Bmsaada%2Bkwa%2Bwasamalia%2Bwema..jpg)
Mwanamama Ester Charles ambaye ni mkazi wa Mwambani wilayani Ilemela ametelekezwa na mumewe aliyetajwa kwa jina la Albinus na kubakizwa na watoto wawili wadogo wanaohitaji uangalizi na usimamizi. Pichani mwanamama Ester akiwa na mtoto wake mdogo anayetaabika na ugonjwa wa kupooza.
KWA UFUPI
Mumewake alipopata mwanamke mwingine alihama nyumba aliyokuwa akiishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKdK-ZLmf06S7IDfy*Fgo1BHE0DmZKfNRcoAq2pD2ODBW7gTHd5RzgQNY5Yy7cWDifgfr*55V5l6Is4A8qbeN0wb/nomasana.gif?width=650)
MKE ANAYEISHI NA WAUME WAWILI MAPYA YAIBUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFHyLmzK-Cl-BpnMhW48c42JVYXSkNkLeYq4WkwqI0P0wQwpzZhKTbUlUzjGSz*daU-lFOwUaVg6j7Pz8ruBjFo/jide.jpg?width=650)
JIDE AOMBA TALAKA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f9q1niogE20/XtH6_9oAYGI/AAAAAAAAUsQ/Dyd4IQQEOdEKmOrMBflkNgviGCommx1mQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
MKE WA PILISI ANAYETUHUMIWA KUMUUA MMAREKANI MWEUSI ADAI TARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-f9q1niogE20/XtH6_9oAYGI/AAAAAAAAUsQ/Dyd4IQQEOdEKmOrMBflkNgviGCommx1mQCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1Z2wlNEKDlCvLqZ7w-2leKUd4uu107d0oIDDc8C93o7sxV30CAgUXFQfU4MQt0XMrwopBUZosZw76HeEdU4caUx/WEWW.jpg?width=650)
MKE WA SHETTA ADAI TALAKA
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Mke wa Shetta Adai Talaka, Kisa Rose Ndauka
Siku chache baada ya habari ya staa wa Bongo Fleva , Nurdin Bilal ‘Shetta’ kudaiwa kulala chumba kimoja na staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka kuandikwa gazetini, mkewe Neila Yusuf ameshindwa kuvumilia na kudai talaka yake, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Shetta na Rose waliripotiwa na “gazeti pendwa”moja kuwa walilala katika chumba kimoja katika Hoteli ya Kingway iliyopo mkoani Morogoro walipokuwa wamekwenda kwenye mazishi ya muasisi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge.
Kwa mujibu...
10 years ago
Bongo529 Dec
Chris Rock ampa talaka mke wake wa miaka 20