MKE ANAYEISHI NA WAUME WAWILI MAPYA YAIBUKA
![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKdK-ZLmf06S7IDfy*Fgo1BHE0DmZKfNRcoAq2pD2ODBW7gTHd5RzgQNY5Yy7cWDifgfr*55V5l6Is4A8qbeN0wb/nomasana.gif?width=650)
Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima Sakata la mke kuishi na waume wawili limechukua sura mpya baada ya kikao cha ndugu wa mume halali, Rogers Halinga kuketi kikao katika Kijiji cha Ishungu, Kata ya Ruiwa Mbarali, mkoani Mbeya na kumtaka Biton Mwashilindi kufanya mazungumzo nao kabla hawajafungua madai ya ugoni mahakamani na kudai fidia. Rogers Halinga akiwa na baba yake mzee Jason Halinga na mtoto anayedaiwa kugombaniwa. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SxA2QwjgD0KAMKH4Y2Ffgy5idfBJlWKtsXlj8z4Y0kCSv5nlnsg-efbryGxQThxaEGiXGGb0SQPP7jSbKpH*dy/sakata.jpg)
SAKATA LA MKE WA BARLOW, MAPYA YAIBUKA
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Aolewa na waume wawili
MKAZI wa Kijiji cha Kandete, Kata ya Kandete katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya, Suzana Osea (25), amezua tafrani baada ya kuolewa na wanaume wawili kijijini humo....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPrGq0RotcTubScjk42Svf1fMjASS7OXYAm2AMEBKDQlV31fYJTsJyowPgf0rc7XW7VS-6Lcq-ahB-NbwenM*lY/mapya.jpg)
MAPYA YAIBUKA!
9 years ago
Bongo501 Oct
Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IO*l49JY475AJSHwJ-x*BbD-aZ4XMDYJ8GDo96ic5ZAhx-EHGCr6dlNomHsrZWI9grg*627-gHA-RxXBOQrIy5/Daladala.gif?width=650)
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwJOg5UqgxrgpVW47QOmzaiZhAE7kICt5U0crVVqXSywpN2u6zFV21XhXPdfCFQ6L0VzkBsE21RM-SK5RWPgb0cX/RUFAA.jpg?width=650)
Rufaa ya Cheka, mapya yaibuka
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-FQ37ewEDSSI/VQGwjJqw0dI/AAAAAAAAB-I/avxoIi6CbTA/s72-c/mbatia%2Bpx.jpg)
Mapya yaibuka ajali ya Majinjah
Idadi ya waliokufa yaongezekaMbatia ajipanga kuchukua hatua
NA WAANDISHI WETU
IDADI ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha basi la Majinjah Express, kugongana uso kwa uso na lori, imeongezeka na kufikia 50.
Ajali hiyo iliyotokea juzi, Mufindi mkoani Iringa, ilisababisha kontena lililobebwa na lori hilo, kuangukia basi na kisha kuwabana abiria waliokuwemo na kusababisha vifo vya watu 42 papo hapo.
Hata hivyo, kumeibuka sintofahamu kuhusiana na idadi kamili ya watu waliokuwemo kwenye magari...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mapya yaibuka ajali ya ndege
TAKRIBANI mashuhuda wanane wameiambia Serikali ya Malasyia kuwa waliiona ndege ya Malaysia, MH 370, saa moja kabla haijapotea angani kupitia rada ya uraiani. Maelezo hayo yanaashiria kuwa ndege hiyo iligeuka kabla ya kupotea angani.
11 years ago
Habarileo26 May
Mapya yaibuka mtoto wa boksi
UTATA umeendelea kugubika tukio la mtoto kukutwa kwenye boksi katika mtaa wa Azimio mjini Morogoro akiwa ameishi humo kwa miaka mitatu, ambapo sasa imebainika kuwepo kwa shimo lililojaa maji jirani na alipokuwa amefungiwa mtoto huyo.