Chris Rock ampa talaka mke wake wa miaka 20
Mchekeshaji na muigizaji maarufu wa nchini Marekani, Chris Rock amempa talaka mke wake aliyedumu naye kwa kipindi cha miaka 20. Malaak Compton-Rock alitoa maelezo Jumapili hii kupitia jarida la People akisema: “After much contemplation and 19 years of marriage, Chris and I have decided to go our separate ways.” “While recognizing that this is a […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Chameleone kuachana na Mke wake wa Miaka 10
Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.
Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.
Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.
Hatua za kumpata Chameleone...
9 years ago
Bongo522 Oct
Chris Rock kusherehesha tuzo za Oscar 2016
10 years ago
GPLMKE WA SHETTA ADAI TALAKA
10 years ago
GPLMKE AMPA KIPONDO MUMEWE
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Mke wa Shetta Adai Talaka, Kisa Rose Ndauka
Siku chache baada ya habari ya staa wa Bongo Fleva , Nurdin Bilal ‘Shetta’ kudaiwa kulala chumba kimoja na staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka kuandikwa gazetini, mkewe Neila Yusuf ameshindwa kuvumilia na kudai talaka yake, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Shetta na Rose waliripotiwa na “gazeti pendwa”moja kuwa walilala katika chumba kimoja katika Hoteli ya Kingway iliyopo mkoani Morogoro walipokuwa wamekwenda kwenye mazishi ya muasisi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge.
Kwa mujibu...
10 years ago
GPLMKE AMPA KIPIGO WIFI YAKE
9 years ago
Bongo501 Oct
Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wake wenye VVU wapewa talaka Lindi