Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chameleone kuachana na Mke wake wa Miaka 10

Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.

Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.

Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.

Hatua za kumpata Chameleone...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Chris Rock ampa talaka mke wake wa miaka 20

Mchekeshaji na muigizaji maarufu wa nchini Marekani, Chris Rock amempa talaka mke wake aliyedumu naye kwa kipindi cha miaka 20. Malaak Compton-Rock alitoa maelezo Jumapili hii kupitia jarida la People akisema: “After much contemplation and 19 years of marriage, Chris and I have decided to go our separate ways.” “While recognizing that this is a […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Petitman: Bora Ninyang'anywe Mke Kuliko Kuachana na Wema Sepetu

Mfanyakazi wa kampuni ya Endless Fame, Petitman  ambaye mara zote ameonekana kuwa karibu sana na bosi wake , Wema Sepetu  amesema kamwe hawezi kuacha kuwa karibu na Wema eti kwa sababu  Wema  na Diamond wameachana, ukizingatia kuwa Pititman  na Diamond ni mtu na shemeji yake. (Petitman amemuoa dada yake Diamond, Esma)

Kauli hiyo inaashiria kwamba Petitman yupo tayari kunyang'anywa mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu...

 

10 years ago

CloudsFM

Jose Chameleone afiwa na Mdogo wake

Aliyekuwa Mdogo wake Jose Chameleone, AK47 afariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka chooni na kugonga kichwana kabla umauti haujamfika alipost picha kupitia mitandao ya kijamii na aliandika maneno ya nyimbo ya injili kwam lugha kiganda yakisema

 

10 years ago

Mtanzania

Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47

Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5

Leo Oct.30 ndio siku ambayo mashabiki wa Afrika Mashariki wangesikiliza kwa mara ya kwanza collabo ya Barnaba Classic na Jose Chameleone – ‘Nakutunza’, lakini imesongezwa mbele hadi Novemba 5. Kutokana na kusogeza mbele tarehe ya kutoa wimbo huo, Barnaba ameamua kuwaonjesha sehemu ndogo ya wimbo huo kupitia akaunti yake ya Instagram. Alianzia kuandika ujumbe; “Heloooo […]

 

10 years ago

GPL

BEN AFFLECK & JENNIFER GARNER WAJIANDAA KUACHANA BAADA YA MIAKA 10 YA NDOA YAO

Ben Affleck na Jennifer Garner. BAADA ya kudumu katika ndoa kwa miaka 10 na kujaliwa kupata watoto watatu, wanandoa wa Hollywood, Ben Affleck na Jennifer Garner wametangaza kuwa wanajiandaa kuachana.  Ben Affleck na Jennifer Garner wakiwa na watoto wao Violet, Seraphina na Samuel. Katika taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari, wanandoa hao waliomba usiri katika kipindi hiki wanapoelekea kufungua ukurasa mpya kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio sababu ya Halle Berry kuachana na mume wake Olivier Martinez

olivier-martinez-01-800Halle Berry na Olivier Martinez wameachana kwasababu mume wake alihisi kuzidiwa mno kiuchumi na mke wake, imefahamika. Wawili hao walikutana wakati wa kuigiza filamu, Dark Tide mwaka 2010 na muda mfupi wakawa miongoni mwa wapenzi wanaovutia Hollywood. Halle alikuwa miongoni mwa waigizaji wa kike wakubwa na mumewe akiwa muigizaji maarufu Ufaransa aliyeanza kupata jina Marekani. […]

 

10 years ago

CloudsFM

Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.

Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.

Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.

Baadhi ya maneno hayo yalisomeka hivi….leo unatangaza umeninunulia gari,unanipa kila kitu..nay nini umenipa?gari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani