Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BEN AFFLECK & JENNIFER GARNER WAJIANDAA KUACHANA BAADA YA MIAKA 10 YA NDOA YAO

Ben Affleck na Jennifer Garner. BAADA ya kudumu katika ndoa kwa miaka 10 na kujaliwa kupata watoto watatu, wanandoa wa Hollywood, Ben Affleck na Jennifer Garner wametangaza kuwa wanajiandaa kuachana.  Ben Affleck na Jennifer Garner wakiwa na watoto wao Violet, Seraphina na Samuel. Katika taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari, wanandoa hao waliomba usiri katika kipindi hiki wanapoelekea kufungua ukurasa mpya kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The New York Times

Ben Affleck Tried to Drink Away the Pain. Now He’s Trying Honesty.

Ben Affleck Tried to Drink Away the Pain. Now He’s Trying Honesty.  The New York TimesBen Affleck Reveals Why He Left The Batman  Collider.comBen Affleck Left Batman Role Over Justice League Stress, Relapse Fears  Heroic HollywoodFormer Batman Ben Affleck Curses On Live TV  Comicbook.comBen Affleck calls divorce from Jennifer Garner ‘the biggest regret of my life’  The IndependentView Full coverage on Google News

 

5 years ago

CinemaBlend

Why Ben Affleck Is Nervous To Film His New Movie With Matt Damon, Adam Driver, And Jodie Comer

Why Ben Affleck Is Nervous To Film His New Movie With Matt Damon, Adam Driver, And Jodie Comer  CinemaBlendEvery Upcoming Ben Affleck Movie | Screen Rant  Screen RantBen Affleck on depression, addiction and how sobriety has made him happier | Nightline  ABC NewsBen Affleck Says He Lost His Passion For Batman  411mania.comBen Affleck is "nervous" about shooting Ridley Scott epic  digitalspy.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Habarileo

Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa

KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Innocent Mwesiga na Mkewe Carretta Mwesiga washerehekea miaka 10 ya ndoa yao

001_resized_5 (1)Juu na chini mwandishi wa makala katika safu ya Waraka kutoka Houston ndani ya gazeti la Raia Mwema, Innocent Mwesiga, Pharm.D na mke wake Carretta Mwesiga, FNP wakifurahia miaka 10 ya ndoa yao hivi karibuni katika visiwa vya Bahamas. (Kutoka blog hii tunawapa hongera sana) 002_resized_6(Picha kwa hisani ya Sunday Shomari).

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni

Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]

 

5 years ago

Bongo5

Chameleone kuachana na Mke wake wa Miaka 10

Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.

Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.

Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.

Hatua za kumpata Chameleone...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani