BEN AFFLECK & JENNIFER GARNER WAJIANDAA KUACHANA BAADA YA MIAKA 10 YA NDOA YAO
![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DSrSUov2sdqX5Lu1GWhMgdTDkmNjOYAzGOzI0qk4cV12vQ7q7fHzpkIfGLXTiYw1A7yazaVW*ha2NE3Tq5DGTqP/BenAffleckJenGarner.jpg)
Ben Affleck na Jennifer Garner. BAADA ya kudumu katika ndoa kwa miaka 10 na kujaliwa kupata watoto watatu, wanandoa wa Hollywood, Ben Affleck na Jennifer Garner wametangaza kuwa wanajiandaa kuachana.  Ben Affleck na Jennifer Garner wakiwa na watoto wao Violet, Seraphina na Samuel. Katika taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari, wanandoa hao waliomba usiri katika kipindi hiki wanapoelekea kufungua ukurasa mpya kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
The New York Times19 Feb
Ben Affleck Tried to Drink Away the Pain. Now He’s Trying Honesty.
5 years ago
CinemaBlend23 Feb
Why Ben Affleck Is Nervous To Film His New Movie With Matt Damon, Adam Driver, And Jodie Comer
10 years ago
Habarileo03 Sep
Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa
KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.
10 years ago
Michuzi30 Oct
Mdau Innocent Mwesiga na Mkewe Carretta Mwesiga washerehekea miaka 10 ya ndoa yao
![001_resized_5 (1)](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/10/001_resized_5-1.jpg?w=714)
![002_resized_6](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/10/002_resized_6.jpg?w=714)
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BlLMcysb4D4/default.jpg)
10 years ago
Bongo515 Aug
Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni
5 years ago
Bongo514 Feb
Chameleone kuachana na Mke wake wa Miaka 10
Daniella Atim, ambaye ni mke wa Hitmaker na muimbaji kutoka Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama Chameleone, amewasilisha ombi la kutaka hakimu katika moja ya mahakama nchini Uganda kuivunja ndoa yake na hitmaker huyo.
Daniella ameeleza sababu za kutaka kuachana na Chameleone zikiwa ni pamoja na kupigwa na muimbaji huyo pamoja na kunyanyaswa yeye na watoto wake.
Daniella na Chamelone wameoana kwa zaidi ya miaka kumi na kufanikiwa kupata watoto wanne pamoja.
Hatua za kumpata Chameleone...