Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa
KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DSrSUov2sdqX5Lu1GWhMgdTDkmNjOYAzGOzI0qk4cV12vQ7q7fHzpkIfGLXTiYw1A7yazaVW*ha2NE3Tq5DGTqP/BenAffleckJenGarner.jpg)
BEN AFFLECK & JENNIFER GARNER WAJIANDAA KUACHANA BAADA YA MIAKA 10 YA NDOA YAO
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Madada wa Cambodia wenye miaka 98 na 101, wakutana tena baada ya miaka 47
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YNJIxBK9LWE/VcUi7MoS1hI/AAAAAAAD2nQ/U2qA9vAm_0k/s72-c/d7294837205993625d733277b2cb10a6.jpg)
KHERI YA MIAKA 11 YA NDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-YNJIxBK9LWE/VcUi7MoS1hI/AAAAAAAD2nQ/U2qA9vAm_0k/s640/d7294837205993625d733277b2cb10a6.jpg)
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Ndoa ya Wastara, Bond Baada ya Uchaguzi
SASA imethibitika kuwa ndoa kati ya muigizaji nyota wa filamu Wastara Juma na Mtangazaji Bond Suleiman itafanyika mara baada ya uchaguzi mkuu ujao.
Bond ambaye pia ni muigizaji, aliliambia gazeti hili kuwa wawili hao wameshafikia muafaka wa kuoana lakini Wastara yupo bize na kampeni, kwani baada ya kuanguka katika ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya CCM, sasa anazunguka mikoani na Samia Suluhu ambaye ni mgombea mwenza wa John Magufuli jambo ambalo limesababisha washindwe kufanya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LniPfaDFIHalfuwhjfddscduEGI7YVAx*-tejFJz0J7kz5PrxRqxh3DIwNhB8kcLCicjsWu5EK3FOzVw-1--X-0L/Wastara.jpg?width=650)
NDOA WASTARA, BOND BAADA YA UCHAGUZI
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzkx6t6RlTHPTH8b529GBWb-3daH7Vhpco-V3C-MjatNaDkfAHA-g*qVceSt3-Ewc*zMQaxb94gTNEojTxKkTpO/CATHY.jpg?width=650)
CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YmIMYwp237o6uEuLoFwHEhk49Qd28p8LiQDtQxw*pbiJ-JhV-XjarlzfjVzxCikR8J1PTEtmFLjBvYppPTRGkox/devota.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI