Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHERI YA MIAKA 11 YA NDOA

A wedding anniversary is the celebration of love, trust, partnership, tolerance and tenacity. The order varies for any given year. Happy 11th Wedding Anniversary Edima & Frank

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

11 years ago

GPL

CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!

Stori: GLADNESS MALLYA MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana. Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema kuwa, amekuwa akizushiwa kwamba anatoka nje ya ndoa na wasanii tofauti lakini hayo ni...

 

10 years ago

Habarileo

Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa

KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa Uhispania sasa mpaka miaka 16

Serikali ya Uhispania imetangaza kuwa kuanzia leo Alhamisi raia wa chi hiyo watakubaliwa kufunga ndoa kisheria watakapotimiza umri wa miaka 16 badala ya miaka 14 ilivyokuwa awali

 

11 years ago

GPL

MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI

Stori: Hamida Hassan Katibu Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amezawadiwa gari aina ya Toyota Harrier Lexus na mumewe aliyemtaja kwa jina la Mr. Mbaga baada ya kudumu katika ndoa kwa muda wa miaka 20. Devota Mbaga Akizungumza na Ijumaa, Devota alisema anamshukuru Mungu kwa kukaa katika ndoa yake kwa amani na hatimaye kutimiza miaka hiyo kwani ni wachache wanaotimiza umri huo.… ...

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KUZALIWA NA KUTIMIZA MIAKA 3 YA NDOA

Ankali Eng.Moses Mwangende   leo tarehe 22.10.2014  anakumbuka siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka mitatu(3) ya ndoa yao  na Bi Eng.Nizetha Kimario. Mwenyezi Mungu azidi  kuwapa maisha marefu na kutimiza ndoto zao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Insp. Haroun atimiza miaka 10 ya ndoa yake

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspector Haroun’ au ‘Babu’ anatarajiwa kufanya shoo ya kuadhimisha miaka kumi ya ndoa yake, itakayofanyika Octoba 25 katika ukumbi wa Mpoafrika...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Barack na Michelle Obama washerehekea miaka 23 ya ndoa

Ni miaka 23 tangu Rais wa Marekani, Barack Obama afunge ndoa na mke wake, Michelle. Obama na First Lady waliofunga ndoa October 3, 1992 kwenye kanisa la Trinity jijini Chicago, walisherehekea miaka hiyo ya ndoa yao Jumamosi. Kupitia Twitter, Obama aliandika: Twenty-three years and still going strong. Here's to many more. #HappyAnniversary pic.twitter.com/EdEvqUF0s7 — Barack […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani