Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKU YA KUZALIWA NA KUTIMIZA MIAKA 3 YA NDOA

Ankali Eng.Moses Mwangende   leo tarehe 22.10.2014  anakumbuka siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka mitatu(3) ya ndoa yao  na Bi Eng.Nizetha Kimario. Mwenyezi Mungu azidi  kuwapa maisha marefu na kutimiza ndoto zao.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA KUTIMIZA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM WAFANYA PEMBA


 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akihutubia wakazi wa Chake Chake Pemba kwenye uwanja wa mikutano mkongwe Gombani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa CCM inataka kuingia kwenye uchaguzi kukiwa na amani na mshikamano,alisema"muungano wetu ndio ngao yetu" na kusisitiza Demokrasia imeanzishwa na CCM kwa kukubali mfumo wa vyama vingi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Chake...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA

 MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani. MH. Ridhiwani kikwete akiongea mbele ya wa Tanzania waliojitokeza kwenye sherehe hizo za kusherehekea miaka 38 ya kuzaliwa CCM na kuwapongeza kwa kujitokeza ingawa kulikuwa na theluji siku mzima. Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

10 years ago

CloudsFM

Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja

Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...

 

11 years ago

Dewji Blog

Koffi Olomide kutimiza miaka 58

Koffi_olomide_Abracadabra_album_20111200

Koffi Olomode ni msomi mwenye Shahada aliyeamua kuweka pembeni usomi wake na kupanda jukwaani akiimba na kunengua. Mungu ni mwingi wa rehma iwapo atamfikisha Julai 13, 2014,  Koffi Antonie Olomide atatimiza miaka 58 ya kuzaliwa kwake.

Olomide alizaliwa Julai 13, 1956  katika mji wa Kisangani, uliopo Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Koffi mwenye asili ya  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sierra Leone. Akiwa amezaliwa na Mama raia wa  Kongo akitokea katika kabila la...

 

10 years ago

GPL

BONANZA LA KUTIMIZA MIAKA 9 YA KUNDI LA JAKAYA THEATRE LAFANA!

Mgeni rasmi wa bonanza, ambaye ni rais wa Shirikisho la Filamu (TAFF), Simon Mwakifwamba  (kulia) akiwasili. ...Akisaini kitabu cha wageni na kuandika namba maalum aliyozawadiwa na kampuni hiyo. Baadhi ya wasanii wakiwa katika picha ya pamoja.…

 

10 years ago

Michuzi

CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.

Mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,Adam Mchomvu akitoa muongozo mfupi kwa baadhi ya Wafanyakazi wenzake waliomzunguka,kuhusiana na ukataji na ulaji wa Ndafu kama ionekavyo pichani,wakati wa hafla ya kutimiza miaka 15 ya kituo cha redio ya Clouds FM,tangu kuanzishwa kwake nchini.Redio hiyo imejizolea umaarufu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na Duniani kwa ujumla.
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake. Ndafu wa...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2

Keki iliyoandaliwa na uongozi wa Benki ya CRDB tawi la Ubungo kwa ajili ya sherehe za kutimiza miaka 2 tangu kuanzishwa kwa tawi hilo, ambapo wateja wa benki hiyo walijumuika na wafanyakazi wa tawi hilo kusherehekea kwa pamoja.…

 

10 years ago

GPL

RAIS WA ZIMBABWE ATAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 91 KESHO

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kesho atafanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 91 kwa kuchinja tembo wawili. Sherehe hizo zitafanyika kwenye mji wa Victoria Falls na zinaandaliwa na chama tawala ZANU-PF kinataka kukusanya dola za Kimarekani milioni 1 kwa ajili ya sherehe ya kesho. Wageni wapatao 20,000 wanatarajiwa kuhudhuria. Hata hivyo, mashirika ya kutetea ulinzi wa wanyama pori yamemkosoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani