SIKU YA KUZALIWA NA KUTIMIZA MIAKA 3 YA NDOA
![](http://2.bp.blogspot.com/-d3fid6ZhCxA/VEaK3rmwITI/AAAAAAAGsgU/BzDdMyKv0AQ/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Ankali Eng.Moses Mwangende leo tarehe 22.10.2014 anakumbuka siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka mitatu(3) ya ndoa yao na Bi Eng.Nizetha Kimario. Mwenyezi Mungu azidi kuwapa maisha marefu na kutimiza ndoto zao.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Vaeb6S0Dawc/VMVL1Bw3yzI/AAAAAAAAWIc/m5U-pt-82Rg/s72-c/1.jpg)
UZINDUZI WA KUTIMIZA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM WAFANYA PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vaeb6S0Dawc/VMVL1Bw3yzI/AAAAAAAAWIc/m5U-pt-82Rg/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6baJoH4KAMU/VMVMlvdKKRI/AAAAAAAAWJk/DzzyRz_so2E/s1600/2.jpg)
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja
Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.
Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Koffi Olomide kutimiza miaka 58
Koffi Olomode ni msomi mwenye Shahada aliyeamua kuweka pembeni usomi wake na kupanda jukwaani akiimba na kunengua. Mungu ni mwingi wa rehma iwapo atamfikisha Julai 13, 2014, Koffi Antonie Olomide atatimiza miaka 58 ya kuzaliwa kwake.
Olomide alizaliwa Julai 13, 1956 katika mji wa Kisangani, uliopo Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Koffi mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sierra Leone. Akiwa amezaliwa na Mama raia wa Kongo akitokea katika kabila la...
10 years ago
GPLBONANZA LA KUTIMIZA MIAKA 9 YA KUNDI LA JAKAYA THEATRE LAFANA!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s72-c/1.jpg)
CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s1600/1.jpg)
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjjcZlnX_50/VH28sZpMMmI/AAAAAAACvuk/ZkLywZZngO0/s1600/9.jpg)
11 years ago
GPLBENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwIJdYxllBFVzBC-QPYBqYxHQQ0Kn1lG9iFSo7c7LAST9MjHZKH1vVKP3hxP3BwoaELwbP*xMET-Xxw*YMxgEkVT/imrs.php.jpg?width=650)
RAIS WA ZIMBABWE ATAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 91 KESHO