RAIS WA ZIMBABWE ATAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 91 KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwIJdYxllBFVzBC-QPYBqYxHQQ0Kn1lG9iFSo7c7LAST9MjHZKH1vVKP3hxP3BwoaELwbP*xMET-Xxw*YMxgEkVT/imrs.php.jpg?width=650)
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kesho atafanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 91 kwa kuchinja tembo wawili. Sherehe hizo zitafanyika kwenye mji wa Victoria Falls na zinaandaliwa na chama tawala ZANU-PF kinataka kukusanya dola za Kimarekani milioni 1 kwa ajili ya sherehe ya kesho. Wageni wapatao 20,000 wanatarajiwa kuhudhuria. Hata hivyo, mashirika ya kutetea ulinzi wa wanyama pori yamemkosoa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWINDHOEK BEER YADHAMINI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA KLABU YA BONGO MOVIE ITAKAYOFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA EAST 24
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Mama Kikwete katika sherehe za kutimiza miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani lindi
![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PtlX2mNp2Oc/Uu9gE4xpOgI/AAAAAAAFKlw/QAbrRTeSqAA/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qihkaSIs2eI/Uu9gCVNZSsI/AAAAAAAFKlA/DLahg4M9p2A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9zdgFBWMdU/Uu9gDX7dXzI/AAAAAAAFKlc/cDuS27lMro8/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Kampuni ya Green Waste Pro Ltd yaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa
Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark Anthony Shayo akizungumza jambo kwenye sherehe ya kutimiza miaka miwili kwa kampuni hii ya kufanya usafi katika jiji la Dar es salaam hususani kwenye manispaa ya Ilala.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kwenye ukumbi wa makumbusho siku ijumaa tarehe 27, 2014.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye...
11 years ago
MichuziWINDHOEK WAFANYA KWELI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA BONGO MOVIE KATIKA UKUMBI WA EAST 24 MWISHONI MWA WIKI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5Fq2zYqWVs/Uu9AiYOqZ9I/AAAAAAAFKjE/l2RtpWPKaHQ/s72-c/0L7C0490.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ampongeza Mzee Mwinyi kwa kutimiza miaka 90
Rais Mstaafu awamu ya Pili Alhaji Hassan Mwinyi akitoa salamu zake kwa wageni waalikwa wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa ambapo jana alitimiza umri wa miaka 90.Sherehe hiyo ilifanyika katika hoteli ya Sea Cliff na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s72-c/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KATIKA SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 38 YA CCM, KWENYE UWANJA WA MAJIMAJI, SONGEA - RUVUMA, TAREHE 01 FEBRUARI, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s1600/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA SIKU YA SHEREHE ZA KUZALIWA KWA CCM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--WJ2Cz9_JpE/VYw4bUzCwZI/AAAAAAAHkBI/nVC3fcVPHg4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji
![](http://3.bp.blogspot.com/--WJ2Cz9_JpE/VYw4bUzCwZI/AAAAAAAHkBI/nVC3fcVPHg4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oKwBLWwwelE/VYw4eWMhiaI/AAAAAAAHkBQ/gvqYqQhhh4E/s640/unnamed.jpg)