Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji
![](http://3.bp.blogspot.com/--WJ2Cz9_JpE/VYw4bUzCwZI/AAAAAAAHkBI/nVC3fcVPHg4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June mwaka 1975 kutoka kwa mkoloni Mreno.(picha na Freddy Maro).
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o7Fl0oqtu2g/VYxSpkaTGkI/AAAAAAAHkHI/l-IA1xncBe4/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
JK AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 40 ZA UHURU WA MSUMBIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-o7Fl0oqtu2g/VYxSpkaTGkI/AAAAAAAHkHI/l-IA1xncBe4/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--WJ2Cz9_JpE/VYw4bUzCwZI/AAAAAAAHkBI/nVC3fcVPHg4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9jiuuJuYaDM/VDaC3oSBDUI/AAAAAAAGozo/HTE9x1NStb8/s72-c/jk1.jpg)
Rais Kikwete ahudhuria sherehe za miaka 52 Uhuru wa uganda
![](http://1.bp.blogspot.com/-9jiuuJuYaDM/VDaC3oSBDUI/AAAAAAAGozo/HTE9x1NStb8/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_E9hPTmEz98/VDaC4PJmtCI/AAAAAAAGozw/ng2eEfJLtTI/s1600/jk2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcouO4DUEt0UgFUTQYo635EJ4iXdFqoOl5Awf184aU9yULUTGZ*CS2UGRyoCW1qayxDiNLHK2SJotaPtZb2bDp3*/MIAKA50YAUHURUWAKENYA1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA KENYA
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete (kulia) wakihudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Kenya zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Kasarani mjini Nairobi jana. Kushoto ni Mwenyeji wao Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.Wa tatu kushoto ni Naibu Rais wa Kenya William Ruto, Wa tano Kushoto ni Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Desalegn na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na mkewe.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Rais Kikwete ahudhuria sherehe za Kumuapisha Rais Mpya wa Msumbiji
![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cP7l80GWSFg/VLgutRBnw9I/AAAAAAAG9rg/Uim3yD6UtvQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--AbXjbZ8myo/VLgutSgjNCI/AAAAAAAG9rc/jQTRkAhAQko/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4C-_JPEIScc/VLgve4M5JVI/AAAAAAAG9rw/yXWzNVH4Ntg/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/jjBThkSoSOA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hwAVY2ghWys/VEuASD86euI/AAAAAAAGtSU/GyWLbQ1IjPg/s72-c/Mwandosya%2B1.jpg)
Mh. Mwandosya amuwakilisha Rais Kikwete kwenye Sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Zambia
![](http://4.bp.blogspot.com/-hwAVY2ghWys/VEuASD86euI/AAAAAAAGtSU/GyWLbQ1IjPg/s1600/Mwandosya%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7NZ1pLcEscQ/VEuAS6p6MZI/AAAAAAAGtSY/0B5Pd4hoyHo/s1600/Mwandosya%2B2.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Mjbvgkdwoh0/U4ClEr5ZKgI/AAAAAAAFkv4/Inhsv1mGx-o/s1600/unnamed+(12).jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014.
Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake leo Mei 24, 2014.
Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya uhuru kamili...
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3Gk-krLbzw/U4ClEnpY0II/AAAAAAAFkv8/syP5OXIycmQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-11-W82KaMJM/U4CrMheauXI/AAAAAAAFkws/wwAbpDZAwSM/s1600/unnamed+(14).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10