Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yaliyojiri wakati Rais Jakaya Kikwete alipohudhuria Miaka 40 ya Uhuru wa Msumbiji

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji

Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June mwaka 1975 kutoka kwa mkoloni Mreno.(picha na Freddy Maro).

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI

 Ndege zikipita na kuchora rangi za bendera za Msumbiji jana wakati wa maadhimisho ya miaka 40 ya Uhuru wa msumbiji jana. Askari wa Msumbiji wakishuka na mwavuli wakati wa sherehe za uhuru(picha na Freddy Maro).Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Malawi Profesa Peter Mutharika wakitoka katika uwanja wa michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji baada ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 40 ya uhuru wa Msumbiji jana.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MGOMBEA WA URAIS WA MSUMBIJI MKOANI TANGA

Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya chama cha FRELIMO Mheshimiwa Filipe Nyusi katika Ikulu ya Tanga ambapo walifanya mazungumzo.
Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Mheshimiwa Filipe Nyusi akimsalimia Mzee Said Mbaruku wa Tanga wakati alipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

9 years ago

Mwananchi

YALIYOJIRI 2015: Jakaya Kikwete abadili mawaziri 13

Januari 2015. Ilianza na kiporo cha matukio mengi ya 2014, yakiwamo ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, mchakato wa Katiba mpya na kashfa ya escrow ambayo yalitikisa nchi na haikuwa ajabu wakati Rais alipotangaza Baraza la Mawaziri lililokuwa na mabadiliko 13 ambayo yaliwaweka nje makada watatu.

 

10 years ago

Michuzi

JK AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 40 ZA UHURU WA MSUMBIJI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiukagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya kuwasili jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 ya uhuru wa Msumbiji zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Machava jijini Maputo.
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA KENYA

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete (kulia) wakihudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Kenya zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Kasarani mjini Nairobi jana. Kushoto ni Mwenyeji wao Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.Wa tatu kushoto ni Naibu Rais wa Kenya William Ruto, Wa tano Kushoto ni Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Desalegn na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na mkewe.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ahudhuria sherehe za miaka 52 Uhuru wa uganda

Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akiwakaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Salva Kiir wa Sudani ya kusini kuhudhuria shrehe za Uhuru wa Uganda zilizofanyika huko kololo Kampala.(picha na Freddy Maro)Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa entebbe Uganda kuhudhuria sherehe za miaka 52 za uhuru wa Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani