Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALIYOJIRI 2015: Jakaya Kikwete abadili mawaziri 13

Januari 2015. Ilianza na kiporo cha matukio mengi ya 2014, yakiwamo ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, mchakato wa Katiba mpya na kashfa ya escrow ambayo yalitikisa nchi na haikuwa ajabu wakati Rais alipotangaza Baraza la Mawaziri lililokuwa na mabadiliko 13 ambayo yaliwaweka nje makada watatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete abadili mawaziri

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko muhimu katika Baraza la Mawaziri, kuziba pengo lililoachwa na mawaziri wawili, kutokana na kashfa ya utoaji wa fedha katika iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT).

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Jakaya Kikwete ana mkosi gani na mawaziri wake?

Hatua iliyochukuliwa na Bunge ya kuwashinikiza mawaziri kujiuzulu na hatimaye Rais Jakaya Kikwete kuwaengua mawaziri wanne hivi karibuni ni mtihani mwingine kwa Serikali.

 

10 years ago

GPL

RAIS ABADILI MAWAZIRI NA MANAIBU WAO

Waziri wa Nishati na Madini mpya, George Simbachawene. Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe.…

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI WA FEBRUARI, 2015

Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete . HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2015, YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOTOLEWA TAREHE 1 MACHI, 2015   Utangulizi Ndugu Wananchi; Kama ilivyo ada tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuzungumza kupitia utaratibu wetu huu mzuri wa hotuba za kila mwisho wa mwezi.  Kwa mwisho… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tazama hotuba ya Rais Jakaya Kikwete ya mwisho wa mwezi Februari, 2015

JK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Tanzania kwenye hotuba zake za kila mwezi. Fuatilia hotuba nzima hapa chini.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH JAKAYA KIKWETE MEI MOSI 2015 - MWANZA



Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.
Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa "SOLIDARITY FOREVER" wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi mfano wa hundi mfanyakazi bora wa TANESCO Bw. Clement Mwakalosi wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani