Yaliyojiri katika ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini India kwa muhtasari
![](http://img.youtube.com/vi/pPk-GXrSMhY/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Rais Kikwete aondoka nchini kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete yuko njiani kwenda India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee. Ziara hiyo, inaanza rasmi jioni ya Jumatano, Juni 17, 2015.
Wakati wa ziara yake, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete, mbali na kukutana na Rais Mukherjee kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i1PRnMk5kuQ/VYPvEKub11I/AAAAAAAHhXw/iNS9y-bBo4Q/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KISERIKALI NCHINI INDIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1PRnMk5kuQ/VYPvEKub11I/AAAAAAAHhXw/iNS9y-bBo4Q/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakiweka shada katika kaburi la mpigania uhuru na muasisi wa taifa la India Mahatma Ghandi jijini New Delhi India leo asubuhi
![](http://2.bp.blogspot.com/-TN89xStosVU/VYPvhjxYpXI/AAAAAAAHhX4/noe0e-kLiIk/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yadsCCTna84/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
RAIS JAKAYA KIKWETE AAGANA NA MABALOZI KUTOKA INDIA, UBELGIJI NA SWEDEN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KAZI NCHINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/178.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/269.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/jjBThkSoSOA/default.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete awasili India kwa Ziara ya Kiserikali
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKiV3vp8hlo/VhGnjnyR_3I/AAAAAAAH828/UPi-Ue9NmYs/s72-c/IMGS0573.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KUAGA NCHINI KENYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKiV3vp8hlo/VhGnjnyR_3I/AAAAAAAH828/UPi-Ue9NmYs/s640/IMGS0573.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vjqhVbLQOeo/VhGnjTcJIRI/AAAAAAAH820/IOzekAkUrO8/s640/IMGS0579.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gItssmTGk6U/VhGnjPqG8LI/AAAAAAAH82w/7UGFp0ah2es/s640/IMGS0585.jpg)
11 years ago
Michuzi01 Feb
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Aelekea Nchini India kwa ziara Rasmi
![](https://4.bp.blogspot.com/-S4bg56bMk2A/Uuuyf8iAWzI/AAAAAAACn30/A-l6WUwblxg/s1600/TA1A1303.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ZWFyWTGBz4/UuuygTKuiqI/AAAAAAACn34/n1uX0Wfu698/s1600/TA1A1310.jpg)