Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOTUBA YA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH JAKAYA KIKWETE MEI MOSI 2015 - MWANZA



Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.
Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa "SOLIDARITY FOREVER" wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi mfano wa hundi mfanyakazi bora wa TANESCO Bw. Clement Mwakalosi wakati wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

9 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara, Waziri wa Habari,       Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo;Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto – Zanzibar;Mheshimiwa Chiku Gallawa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma;Waheshimiwa Mawaziri na Naibu Mawaziri;Waheshimiwa Wabunge na Wajumbe wa         Baraza la Wawakilishi; Ndugu Mwenyekiti  wa CCM Mkoa wa Dodoma;Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa Kutoka Tanzania        Bara na Zanzibar;Makatibu Wakuu Kutoka Wizara...

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWENYE KILELE CHA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI 2014, DAR

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI)  Mei 1, 2014 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza Sherehe za Mei Mosi jijini Mwanza leo

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa pamoja na viongozi wengine wakiimba wimbo wa mshikamano katika Sherehe za siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza leo.
Picha zaidi zitawajia baadae kidogo.

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI WA FEBRUARI, 2015

Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete . HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2015, YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOTOLEWA TAREHE 1 MACHI, 2015   Utangulizi Ndugu Wananchi; Kama ilivyo ada tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuzungumza kupitia utaratibu wetu huu mzuri wa hotuba za kila mwisho wa mwezi.  Kwa mwisho… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani