RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MGOMBEA WA URAIS WA MSUMBIJI MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1smtkSKPJk/U7_ojFOiHtI/AAAAAAAAPYU/piflO64zcbc/s72-c/12.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya chama cha FRELIMO Mheshimiwa Filipe Nyusi katika Ikulu ya Tanga ambapo walifanya mazungumzo.
Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Mheshimiwa Filipe Nyusi akimsalimia Mzee Said Mbaruku wa Tanga wakati alipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KWA TIKETI YA FRELIMO AKUTANA NA RAIS KIKWETE
![](https://4.bp.blogspot.com/-495iYNZsaHw/U7_-WCu_E0I/AAAAAAAAn-k/o7I_O6g6xLA/s1600/1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-3L9QGfMhup0/U7_-YigraGI/AAAAAAAAn-s/z8dW0HLucak/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
JK akutana na Mgombea Urais wa Msumbiji Ikulu ndogo mjini Tanga
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi Ikulu ndogo ya Tanga kwa mazungumzo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja na a Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi aliyeambatana na Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi09 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-haIr6xEyLBc/U72XUezmeOI/AAAAAAAAn5Y/Wnsyr7o3SDM/s1600/1.+Kinana+akimlaki+mgeni.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-qJTvY19ZL28/U72XW3Pw-bI/AAAAAAAAn5k/tIlK0AVuRJQ/s1600/2.+Mgeni+akimsalimia+Nape.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
DKT SHEIN AKUTANA NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qxGy_1mnPgI/U8BB6MLr_qI/AAAAAAAF1Pw/LT9A2fpp8Dw/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/jjBThkSoSOA/default.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
11 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE AFANYA ZIARA MKOANI KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...