MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimlaki mgombea Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi cha FRELIMO, Mhe Filipe Nyusi alipowasili leo jioni Julai 9, 2014, kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya ziara ya siku tatu, kusaka kura kwa wananchi wa Msumbiji wanaoishi Tanzania, kufuatia kampeni za Urais zinazoendelea nchini kwake.
Mgombea huyo wa Urais Filipe Nyusi akimsalimia Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ambaye pia alifika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MWIGULU NCHEMBA ACHOTA BARAKA KWA MAMA MARIA NYERERE KUELEKEA SAFARI YAKE YA URAIS NCHINI TANZANIA
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11406979_386332024902365_4698001188933200188_n.jpg?oh=500a57b877576035f5a57c381c9a3e83&oe=55E8877C)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11193412_386332064902361_9214561011273346723_n.jpg?oh=0f69913e6e68d7c3332a84405b373619&oe=56341B80&__gda__=1442607199_2747114624345b9a2c0d1d6bf3c89226)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/1533917_386331931569041_4647035940470781229_n.jpg?oh=6284edb270f6958768a48f448403524a&oe=55EBF0E4)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/549334_386331978235703_607676068783465974_n.jpg?oh=9648c7ae7c020d107a722928c8968295&oe=562DC6D5&__gda__=1445357014_f3661b24bab0ae0c311a7fef51926130)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10418219_386332004902367_3127175902239240001_n.jpg?oh=b0a3a92696e62b865d3b36f22e5d4ef4&oe=55E8D901)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yI7paFpljq0/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
JK akutana na Mgombea Urais wa Msumbiji Ikulu ndogo mjini Tanga
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi Ikulu ndogo ya Tanga kwa mazungumzo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja na a Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi aliyeambatana na Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi11 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KWA TIKETI YA FRELIMO AKUTANA NA RAIS KIKWETE
![](https://4.bp.blogspot.com/-495iYNZsaHw/U7_-WCu_E0I/AAAAAAAAn-k/o7I_O6g6xLA/s1600/1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-3L9QGfMhup0/U7_-YigraGI/AAAAAAAAn-s/z8dW0HLucak/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i1smtkSKPJk/U7_ojFOiHtI/AAAAAAAAPYU/piflO64zcbc/s72-c/12.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MGOMBEA WA URAIS WA MSUMBIJI MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1smtkSKPJk/U7_ojFOiHtI/AAAAAAAAPYU/piflO64zcbc/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Oa6Oaxacjtk/U7_lyKyzIAI/AAAAAAAAPXs/Az2N8umTwNg/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ImDnp0c9vWk/U7_mDClzqAI/AAAAAAAAPX0/PnJXcbenJsY/s1600/16.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
DKT SHEIN AKUTANA NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qxGy_1mnPgI/U8BB6MLr_qI/AAAAAAAF1Pw/LT9A2fpp8Dw/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela
10 years ago
TheCitizen26 Nov
Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mama Maria Nyerere kuandika kitabu