Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja

Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KUMBE DIAMOND ALIFANYA NYIMBO ISHIRINI KABLA YA KUTOKA

Diamond kabla ya mafanikio.
 Kampuni ya Coca-Cola Afrika ya Kati, Mashariki na Magharibi imezindua kampeni mahsusi ijulikanayo kama ‘Sababu Bilioni za Kuamini’ inayolenga kuwahamasisha vijana wa Kitanzania kujiamini pindi wanapopita katika changamoto mbalimbali zinazowakabili kimaisha kabla ya kutimiza ndoto zao. Kampeni hiyo ya miezi mitatu itaendeshwa nchi nzima.Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ni miongoni mwa vijana wanaotolewa mfano katika dhana hii. Alitengeneza single...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Ngasa alikopa kuilipa Simba!

WANACHAMA wa klabu ya Yanga wameuomba uongozi wao wamchangie kulipa deni mshambuliaji wao, Mrisho Ngasa, baada ya kukopa katika moja ya benki hapa nchini kuwalipa Simba. Ngasa alikopa sh milioni...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake

Mh. Vicky Kamata aliwasili Bungeni Dodoma na kama ilivyo ada alipokewa vizuri na kila mbunge aliyekutana nae.  Wabunge wengi walimpa pole baada ya kuugua siku chache kabla ya ndoa yake na kumtakia kila la kheri, huku wengi wakiamini kilichotokea ni mpango wa Mungu na kua Ndoa yake ipo na itakuwepo siku yoyote Mungu akiamua kulitimiza kusudi lake juu ya Mh. Vicky Kamata..   Wakati wabunge wengi wakimuhurumia na kudhani kua kutofungwa kwa ndoa yake kungemgharimu siku nyingi kurudi katika hali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngasa kujiunga na Free State mwezi July

Klabu ya Yanga itamkosa mshambuliaji wake,Mrisho Ngassa katika msimu wa ligi kuu na mechi za kimataifa mwakani.

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja

West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.

MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
 
 AKM-GSI November 22, 2015
 
 To License These Photos, Please Contact :
 
 Steve Ginsburg
 (310) 505-8447
 (323) 423-9397
 steve@akmgsi.com
 sales@akmgsi.com
 
 or
 
 Maria Buda
 (917) 242-1505
 mbuda@akmgsi.com
 ginsburgspalyinc@gmail.com

Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.

tyga-2

Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.

tyga-4

Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...

 

10 years ago

Bongo5

Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake

Hit maker wa Msambinungwa, Tunda Man amesema alikuwa mbioni kufunga ndoa mwezi wa kumi mwaka huu lakini ameahirisha kutokana na matatizo ya kifamilia. Tunda Man ameiambia Bongo5 kuwa alikuwa afunge ndoa mwezi October lakini kutokana na kuuguliwa na mama yake, ameamua asitishe. “Nina mpango wa kuoa, nilikuwa nataka nifunge ndoa mwezi wa kumi lakini kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz kutimiza ahadi ya kuachia album mwezi December

Ni zaidi ya mwaka sasa toka Ommy Dimpoz atoe ahadi ya kuachia album yake ambayo mpaka sasa bado hajaitekeleza, hivyo bado ana deni kwa mashabiki wake. Mr PKP amesema kuwa sio kwamba hakumbuki alichoahidi, bali alikuwa na mpango wa kuitoa album hiyo mapema mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. Sasa ameahidi kutoa […]

 

10 years ago

GPL

VIJANA WA JOGGING WASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA

Keki maalumu kwa Kikundi cha Mji Mwema Jogging. Mshauri wa Mgambo na Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke, Luteni Kanali, Juma Sigambena akitoa vyeti.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani