Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngasa kujiunga na Free State mwezi July

Klabu ya Yanga itamkosa mshambuliaji wake,Mrisho Ngassa katika msimu wa ligi kuu na mechi za kimataifa mwakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja

Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbaroni kutaka kujiunga na Islamic State

Mahakama mjini New York imemfungulia mashitaka mfanyakazi wa zamani wa jeshi la anga kwa madai alitaka kujiunga Islamic State.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Free Media Saccos yaombwa kujiunga SCULT

MUUNGANO wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania (SCULT) umekiomba Chama cha Akiba na Mikopo cha Free Media Saccos kujiunga nao. Akizungumza na baadhi ya viongozi wa Bodi...

 

10 years ago

Mwananchi

SOKA: Ngassa ajifunga Free State

>Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.

 

10 years ago

Daily News

State commits to free secondary schooling


State commits to free secondary schooling
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has reiterated the government's commitment to provide free education at both primary and secondary levels, to make education accessible to all school age children. Addressing diplomats accredited to the country at the New ...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngassa ajiunga Free State ya Afrika Kusini

Mshambuliaji wa Yanga akiwapungia mashabiki wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam juzi. Ngassa yuko njiani kutimkia Afrika Kusini kucheza soka la kulipwa. Picha na Anthony Siame.
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.Ngassa alifanya majaribio katika klabu hiyo ya Afrika Kusini alipokuwa na kikosi cha Taifa Stars nchini Botswana katikati ya mwaka jana.Katika...

 

10 years ago

GPL

NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI

Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi na Kocha wa Free State Stars, Kinnah Phiri leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa 22B President Boshoff mjini Bathlehem baada ya kusaini Mkataba wa miaka minne kuichezea timu hiyo. Na Mahmoud Zubeiry, BETHELEHEM KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini leo.
Ngassa, mume...

 

10 years ago

Vijimambo

ALLFRIKA WANAPAKIA JULY 6 LIMITED SPACE AVAILABLE NA JULY 22ND

We are putting together the July 22 loading schedule. Let me know :
1. What do u want to ship2. Dimensions and number of boxes or items u want to ship3. Your pick up address
For those close to DMV areas, if you have anything that is ready toship, we have limited spaces in the container that is loaded next onJuly 6th, 2015
We have NEW prices!
Thanks a lot!
Pio Waricoy240-552-4870 ( Whatsapp)202-386-6122 ( Telephone)Info@atlglobalsolutions.com (email)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani