NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI
![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKOMd1GX7RU-lKxZGa4EuGsGgAUBNaP1NYBMmDK9PeZkla*c8vCuv-hMHrQ3QdkHXZLsqCu*PV3NHDhrm-ZrsGI/2.jpg)
Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi na Kocha wa Free State Stars, Kinnah Phiri leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa 22B President Boshoff mjini Bathlehem baada ya kusaini Mkataba wa miaka minne kuichezea timu hiyo. Na Mahmoud Zubeiry, BETHELEHEM KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini leo. Ngassa, mume...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 May
Ngassa ajiunga Free State ya Afrika Kusini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2710122/highRes/1008129/-/maxw/600/-/g8o4r0/-/ngassa.jpg)
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.Ngassa alifanya majaribio katika klabu hiyo ya Afrika Kusini alipokuwa na kikosi cha Taifa Stars nchini Botswana katikati ya mwaka jana.Katika...
10 years ago
BBCSwahili12 May
Ngassa asaini kucheza Afrika Kusini
10 years ago
Mwananchi08 May
SOKA: Ngassa ajifunga Free State
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Serge Aurier asaini miaka minne Psg
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIot814mV9jV7wMGhakpAMMfpAOXarE797pU*MSUPfsiQpY*600YtWKfumn*0WRIOpsR2NdA68s3ekqwkAE6o83K/1.gif?width=650)
Ngassa asaini Sauz
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Taifa Stars yajifua Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili12 May
Taifa Stars yaelekea Afrika ya Kusini
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
STARS KUJIPIMA NA U23 YA AFRIKA KUSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNUCuW4hT0o/Vj9KDTHupzI/AAAAAAAIE5Q/XHUssp5NRlw/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Stars yaenda Afrika Kusini kusaka makali
![Timu ya Taifa, Taifa Stars](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/taifa-stars.jpg)
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeondoka jana kuelekea Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wake wa marudiano dhidi ya Msumbiji, utakaochezwa Agosti 3 katika Uwanja wa Zimpeto, mjini Maputo.
Stars imeondoka huku ikiahidi ushindi kwa Watanzania katika mchezo huo wa kusaka kucheza hatua ya makundi ya michuano ya Afrika, itakayofanyika mwakani nchini Morocco.
Awali Stars ilitoka sare ya 2-2 na Msumbiji katika mchezo wake wa...